• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79
Africa Features People Politics

Burkina Faso: Idadi ya vifo kutokana na shambulio la kijihadi yaongezeka hadi 79

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Nchi hiyo imekuwa chini ya uasi wa wanajihadi kwa miaka saba ambao wamesababisha mauaji ya zaidi ya watu 2,000 na kuwalazimu takriban watu milioni 1.9 kuondoka makwao.

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka
Africa Features People Politics

Rwanda: Manusura wa mauaji ya halaiki wapongeza uamuzi wa UN wa kumfungulia Kabuga mashtaka

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Kabuga mwenye umri wa maika 87, anadaiwa kuwa mfadhili wa mauaji ya halaiki ya mwaka 1994 yaliyosababisha vifo vya watu 800,000 hasa Watutsi

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji
Africa Features Politics

DR Congo inaishutumu Rwanda kwa ‘uvamizi’ huku waasi wakiuteka mji

Maureen MedzaJune 14, 2022June 14, 2022

Wapiganaji wa kundi la waasi la M23 waliuteka mji wa Bunagana mashariki mwa jimbo la Kivu Kaskazini

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba
Features People Politics

Kenya: Jaji Mkuu Martha Koome amtaka Rais Kenyatta kuondolewa madarakani kwa kukiuka katiba

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jaji Mkuu Martha Koome anamtaka Rais Uhuru Kenyatta ang’olewe madarakani kwa kukosa kuwateua majaji sita waliopendekezwa na Tume ya Huduma za Mahakama (JSC).

Juni 13: Siku ya uelewa kuhusu ualbino
Africa Features Lifestyle & Health

Juni 13: Siku ya uelewa kuhusu ualbino

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi
Africa Features People Politics

DR Congo yaishutumu Rwanda kwa shambulio la waasi

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo imelaumu kuzuka upya kwa ghasia za hivi karibuni za M23 kwa nchi jirani ya Rwanda, na kusababisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili kudorora.

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo
East Africa Features People Politics

Mfalme wa Ubelgiji akamilisha ziara yake DR Congo

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Ziara ya Mflame Philippe nchini DR Congo ilikuwa ya kwanza tangu kutawazwa mwaka wa 2013

Sudan: Maelfu ya kondoo wafa maji meli ilipozama
Africa Features

Sudan: Maelfu ya kondoo wafa maji meli ilipozama

Maureen MedzaJune 13, 2022June 13, 2022

Meli hiyo ya mifugo ilikuwa ikisafirisha wanyama hao kutoka Sudan hadi Saudi Arabia ilipozama

Papa aahirisha ziara ya Afrika kutokana na tatizo la goti
Africa Features People

Papa aahirisha ziara ya Afrika kutokana na tatizo la goti

Maureen MedzaJune 10, 2022June 10, 2022

Papa Francis ataahirisha safari yake katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo na Sudan Kusini kutokana na tatizo la goti, Vatican ilisema

Rais wa Somalia aitaka jumuiya ya kimataifa kuisaidia nchi yake kuepukana na njaa
Africa Features People Politics

Rais wa Somalia aitaka jumuiya ya kimataifa kuisaidia nchi yake kuepukana na njaa

Maureen MedzaJune 10, 2022June 10, 2022

Mashirika ya misaada yameonya kuhusu njaa huku visa vya utapiamlo miongoni mwa watoto vikiongezeka katika taifa hilo la Pembe ya Afrika

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo