• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mfalme wa Ubelgiji awasili DR Congo kwa ziara
Africa East Africa Features People Politics

Mfalme wa Ubelgiji awasili DR Congo kwa ziara

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Mfalme huyo atafanya ziara ya siku sita inadaiwa kuwa nafasi ya maridhiano baada ya ukatili uliofanywa chini ya utawala wa kikoloni wa Ubelgiji.

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9
Features People Politics

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Wagombea wanne wameidhinishwa kushiriki kinyang’anyiro cha kuwa rais wa Kenya, akiwemo naibu wa rais wa sasa William Ruto na Raila Odinga.

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume
Asia Features Middle East People Politics

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Indonesia imemuita mjumbe wa India mjini Jakarta kuhusu matamshi ‘ya dharau’ yaliyotolewa kuhusu Mtume Muhammad na maafisa wawili wa chama tawala cha India

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais
East Africa Features People Politics

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga Jumatatu alizundua manifesto yake yenye ahadi 10, akiahidi kuinua uchumi ndani ya siku 100 za uongpzi wake kama Rais wa Kenya.

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Mwendesha mashtaka wa Chad ataka viongozi wa upinzani wafungwe kifungo cha miaka 2 jela
Africa Features People Politics

Mwendesha mashtaka wa Chad ataka viongozi wa upinzani wafungwe kifungo cha miaka 2 jela

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Maandamano yaliyoidhinishwa mnamo dhidi ya uwepo wa jeshi la Ufaransa nchini Chad yaligeuka kuwa ya vurugu. Vituo vya mafuta vya kampuni ya Ufaransa ya Total vilishambuliwa

Kenya: Kiwanda cha Pwani Oil chafungwa, walaumu uhaba wa dola
Business / Finance Features

Kenya: Kiwanda cha Pwani Oil chafungwa, walaumu uhaba wa dola

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Kiwanda cha Pwani Oil kinachozalisha mafuta ya kupikia aina ya Freshfri, Salit na Fry Mate, imekifungia kiwanda kutokana na uhaba wa malighafi iliyoshindwa kuagiza kutokana na uhaba wa dola

Msimamizi wa bohari ya Bangladesh ashtumiwa kwa mlipuko ulioua takriban watu 49
Asia Features

Msimamizi wa bohari ya Bangladesh ashtumiwa kwa mlipuko ulioua takriban watu 49

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Bohari ya Kontena ya BM huko Sitakunda, ni ubia kati ya wafanyabiashara wa Bangladeshi na wa Uholanzi

Nigeria: Watu wenye silaha waua waumini katika shambulizi kanisani
Africa Features

Nigeria: Watu wenye silaha waua waumini katika shambulizi kanisani

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Watu wenye silaha na vilipuzi walivamia kanisa la Kikatoliki na kufyatua risasi na kuua waumini kwenye kanisa kusini magharibi mwa Nigeria

Rais wa DR Congo anaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi
Africa Features People Politics

Rais wa DR Congo anaishutumu Rwanda kwa kuwaunga mkono waasi

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo Felix Tshisekedi alisema Jumapili ‘hakuna shaka’ kwamba Rwanda inaunga mkono uasi katika eneo lao

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo