• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Utawala wa Mali unasema ulifaulu kuzuia jaribio la mapinduzi
Africa Features People Politics

Utawala wa Mali unasema ulifaulu kuzuia jaribio la mapinduzi

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Kikosi cha kijeshi cha Mali kilisema kilizuia jaribio la mapinduzi wiki iliyopita lililoongozwa na maafisa wa jeshi na kuungwa mkono na nchi ya Magharibi

Rais wa Guinea-Bissau avunja bunge
Africa Features People Politics

Rais wa Guinea-Bissau avunja bunge

Maureen MedzaMay 17, 2022May 17, 2022

Rais Umaro Sissoco Embalo alivunja bunge la Guinea-Bissau na kusema uchaguzi wa mapema wa bunge utafanyika mwaka huu ili kutatua mzozo wa kisiasa uliodumu kwa muda mrefu.

Urusi: Mpango wa Uswidi na Ufini kutaka kujiunga na  NATO ni ‘kosa kubwa’
Europe Features International Politics

Urusi: Mpango wa Uswidi na Ufini kutaka kujiunga na NATO ni ‘kosa kubwa’

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Urusi ilionya Jumatatu kwamba maamuzi ya Finland na Uswidi kujiunga na muungano wa kijeshi wa NATO yalikuwa makosa makubwa na Moscow itachukua hatua.

Mgombea urais wa Kenya Ruto amchagua msaidizi wa zamani wa Kenyatta kuwa mgombea mwenza
Features People Politics

Mgombea urais wa Kenya Ruto amchagua msaidizi wa zamani wa Kenyatta kuwa mgombea mwenza

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Rigathi Gachagua, ambaye alihudumu kama msaidizi wa kibinafsi wa Kenyatta kati ya 2001 na 2006, alichaguliwa baada ya mchakato wa usiri wa miezi kadhaa

Somalia yamchagua Hassan Sheik Mohamud kama rais kwa mara ya pili
Africa Features People Politics

Somalia yamchagua Hassan Sheik Mohamud kama rais kwa mara ya pili

Maureen MedzaMay 16, 2022May 16, 2022

Mohamud, alikuwa rais kutoka 2012-2017, aliapishwa muda mfupi baada ya kura kuhesabiwa.

Rais wa UAE Sheikh Khalifa afariki akiwa na umri wa miaka 73
Features International People

Rais wa UAE Sheikh Khalifa afariki akiwa na umri wa miaka 73

Maureen MedzaMay 13, 2022May 13, 2022

Sheikh Khalifa alichukua wadhifa wa rais wa UAE mnamo Novemba 2004, akimrithi baba yake kama mtawala wa 16 wa Abu Dhabi, eneo tajiri zaidi kati ya falme saba za shirikisho hilo.

Elon Musk asema mpango wa kununua Twitter ‘umesitishwa kwa muda’
Business / Finance Features International People

Elon Musk asema mpango wa kununua Twitter ‘umesitishwa kwa muda’

Maureen MedzaMay 13, 2022May 13, 2022

Tangazo la Ijumaa lilisababisha hisa za Twitter kushuka kwa asilimia 20

Nigeria: Mwanafunzi wa Kikristo apigwa mawe na umati hadi kufa kwa shtuma za kukufuru
Africa Features

Nigeria: Mwanafunzi wa Kikristo apigwa mawe na umati hadi kufa kwa shtuma za kukufuru

Maureen MedzaMay 13, 2022May 13, 2022

Wanafunzi Waislamu kaskazini magharibi mwa Nigeria walimpiga kwa mawe mwanafunzi Mkristo hadi kufa na kuchoma maiti yake baada ya kumtuhumu kwa kumkufuru Mtume Muhammad

Ndege iliyokuwa na abiria 11 yaanguka nchini Cameroon
Africa Features

Ndege iliyokuwa na abiria 11 yaanguka nchini Cameroon

Maureen MedzaMay 12, 2022May 12, 2022

Lilikuwa ni janga kubwa la kwanza la anga kuripotiwa Cameroon tangu 2007, wakati ndege ya shirika la ndege la Kenya Airways iliyokuwa na watu 114 kuanguka nchini humo

Tembo wawaua wazimbabwe 60 mwaka huu
Africa Features Nature

Tembo wawaua wazimbabwe 60 mwaka huu

Maureen MedzaMay 12, 2022May 12, 2022

Zimbabwe inashikilia nafasi ya pili kwa idadi kubwa ya tembo duniani ikiwa na tembo 100,000

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo