• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Kenya: Polisi yawatia mbaroni waendesha bodaboda 16 kwa kumshambulia mwanamke
East Africa Features Gender

Kenya: Polisi yawatia mbaroni waendesha bodaboda 16 kwa kumshambulia mwanamke

Maureen MedzaMarch 8, 2022March 8, 2022

Kamanda wa Trafiki Nairobi Joshua Omukata alisema washukiwa hao 16 wanazuiliwa katika Kituo cha Polisi cha Parklands huku uchunguzi kuhusu kisa hicho ukiendelea.

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi
Europe Features International Politics

Ukraine yakataa kutoa njia salama kwa Urusi kwa wakimbzi wanaotoroka mashambulizi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Vladamir Putin ameahidi atatimiza lengo lake kwa njia yoyote ile iwe “kwa mazungumzo au kupitia vita”

Bei ya gesi yapanda maradufu kutokana na hofu ya kukosa usambazaji kutoka Urusi
Europe Features International Politics

Bei ya gesi yapanda maradufu kutokana na hofu ya kukosa usambazaji kutoka Urusi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Urusi ni mojawapo ya nchi zinazozalisha mafuta ghafi kwa wingi zaidi duniani na pia inaongoza kwa kusambaza gesi asilia.

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine
Europe Features International Politics

Urusi yawakamata zaidi ya watu 5,000 kwa kushiriki maandamano ya kupinga vita vyake na Ukraine

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Maandamano ya kupinga vita nchini Urusi yameendelea licha ya onyo kutoka kwa mamlaka na hatari ya kufungwa jela.

China iko tayari kupatanisha Ukraine na Urusi inasema urafiki wake na Urusi ni “thabiti’
Europe Features International People Politics

China iko tayari kupatanisha Ukraine na Urusi inasema urafiki wake na Urusi ni “thabiti’

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Beijing imejipata katika hali ngumu ya kidiplomasia katika kipindi chote cha mzozo huo, ikikataa kulaani mshirika wake wa karibu Moscow.

Mali:Wanajeshi 27 wauawa katika shambulio la wanajihadi
Africa Features Politics

Mali:Wanajeshi 27 wauawa katika shambulio la wanajihadi

Maureen MedzaMarch 7, 2022March 7, 2022

Taifa hilo la Afrika Magharibi limekuwa likipambana na vuguvugu la wanajihadi lenye mafungamano na Al-Qaeda na kundi la Islamic State kwa takriban muongo mmoja.

Tanzania: Freeman Mbowe aachiwa huru na mahakama
Africa East Africa Features People Politics

Tanzania: Freeman Mbowe aachiwa huru na mahakama

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), alikamatwa Julai Mosi pamoja na baadhi ya maofisa wengine waandamizi wa chama hicho saa chache kabla ya mkutano wa hadhara wa kudai mageuzi ya katiba.

Zelensky anasema ikiwa Ukraine itaanguka, mataifa mengine  ya Baltic pia yataanguka
Europe Features International People Politics

Zelensky anasema ikiwa Ukraine itaanguka, mataifa mengine  ya Baltic pia yataanguka

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Zelensky alitoa wito wa mazungumzo ya moja kwa moja na kiongozi wa Urusi Vladimir Putin, akisema “ndio njia pekee ya kukomesha vita hivi”.

Wakimbizi milioni moja waikimbia Ukraine katika wiki ya kwanza ya vita
Europe Features International Politics

Wakimbizi milioni moja waikimbia Ukraine katika wiki ya kwanza ya vita

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Kulingana na data kutoka kwa shirika la Grandi la UNHCR, watu 1,045,459 sasa wameikimbia Ukraine tangu Rais wa Urusi Vladimir Putin aanzishe uvamizi Februari 24.

Mchumi atajwa kama waziri mkuu mpya wa Burkina Faso
Africa Features People Politics

Mchumi atajwa kama waziri mkuu mpya wa Burkina Faso

Maureen MedzaMarch 4, 2022March 4, 2022

Ouedraogo mwenye umri wa miaka 53, ambaye uteuzi wake ulikuja kwa amri iliyotiwa saini na Rais Damiba, ameongoza kampuni ya ushauri na ukaguzi wa hesabu tangu 2007.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo