• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Upinzani Zimbabwe unaishutumu serikali kwa udanganyifu katika uchaguzi
Africa People Politics

Upinzani Zimbabwe unaishutumu serikali kwa udanganyifu katika uchaguzi

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Mnangagwa, ambaye alichukua madaraka mwaka 2017 baada ya Mugabe anashutumiwa kwa kuwanyamazisha wapinzani.

WHO: Janga la UVIKO- 19 halijaisha na ulimwengu unapaswa kutarajia “aina hatari zaidi ya virusi” kuibuka
Africa Features International Lifestyle & Health

WHO: Janga la UVIKO- 19 halijaisha na ulimwengu unapaswa kutarajia “aina hatari zaidi ya virusi” kuibuka

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

“UVIKO 19 bado ni hatari ikiwa “83% ya wakazi wa Afrika bado hawajapokea dozi ya kwanza ya chanjo,” Tedros Adhanom Ghebreyesus WHO

China: Mwanamume ashikiliwa kama ‘mtumwa wa damu’ na kutolewa damu kwa miezi kadhaa
Asia International

China: Mwanamume ashikiliwa kama ‘mtumwa wa damu’ na kutolewa damu kwa miezi kadhaa

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Li alitolewa damu nyingi sana hivi kwamba watekaji wake walianza kumtoa damu kichwani kwani mishipa ya mikononi haikuweza tena kutoa damu ya kutosha.

Zimbabwe: Wafuasi 80 wa upinzani wakamatwa  wakifanya kampeni
Africa People Politics

Zimbabwe: Wafuasi 80 wa upinzani wakamatwa wakifanya kampeni

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Aliyekuwa waziri wa fedha na makamu wa rais wa CCC, Tendai Biti, pia alizuiliwa kwa saa kadhaa alipokuwa akifanya kampeni.

Vitoa machozi vyafyatuliwa dhidi ya waandamanaji Sudan
Africa Features Politics

Vitoa machozi vyafyatuliwa dhidi ya waandamanaji Sudan

Maureen MedzaFebruary 21, 2022February 21, 2022

Maandamano yameitikisa nchi hiyo tangu mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan kuongoza unyakuzi wa kijeshi mwezi Oktoba

Freeman Mbowe akutwa na kesi ya kujibu
East Africa Features People Politics

Freeman Mbowe akutwa na kesi ya kujibu

Maureen MedzaFebruary 19, 2022February 21, 2022

Kesi imepangwa kuanza Machi 4, wakati Mbowe na watuhumiwa wengine watakapowasilisha utetezi wao.

Kenya: Dereva auawa,wanafunzi na walimu wajeruhiwa katika shambulizi
Features

Kenya: Dereva auawa,wanafunzi na walimu wajeruhiwa katika shambulizi

Maureen MedzaFebruary 18, 2022February 18, 2022

Walimu na wanafunzi hao walikuwa wakitoka katika safari ya kimasomo katika msafara wa mabasi matatu

Mke wa Ali Kiba adai talaka
East Africa Entertainment People

Mke wa Ali Kiba adai talaka

Maureen MedzaFebruary 18, 2022February 18, 2022

“Mlalamikiwa (Ali Kiba) amefanya mzaha kwa ndoa yetu kwa kujihusisha bila heshima katika maonyesho ya hadharani ya uzinzi na wanawake mbalimbali bila kujali kabisa hisia za mlalamishi,” Khalef anasema

Malawi yatangaza mlipuko wa polio
Africa Features Lifestyle & Health

Malawi yatangaza mlipuko wa polio

Maureen MedzaFebruary 18, 2022February 18, 2022

Poliomyelitis — neno la kimatibabu la polio ni virusi vya kuambukiza ambavyo hushambulia uti wa mgongo na kusababisha ulemavu usioweza kutenduliwa kwa watoto.

Makundi yenye silaha nchini DR Congo yanawashikilia wajumbe waliotumwa na rais
Africa Features Politics

Makundi yenye silaha nchini DR Congo yanawashikilia wajumbe waliotumwa na rais

Maureen MedzaFebruary 18, 2022February 18, 2022

Walienda huko kwa dhamira kutoka kwa Rais Felix Tshisekedi ili kujadili masharti ya kusitisha mapigano na kuwakomesha uharifu katika eneo hilo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo