• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Kylie Jenner ndio mwanamke mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye Instagram
Arts & Culture Business / Finance Entertainment International People

Kylie Jenner ndio mwanamke mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye Instagram

Maureen MedzaFebruary 1, 2022February 1, 2022

Mtu aliye na wafuasi wengi zaidi kwenye Instagram duniani ni Cristiano Ronaldo,akiwa na wafuasi milioni 389.

Iran imewanyonga wanaume wawili mashoga baada ya kupatikana na tuhuma za ulawiti
Asia International Middle East

Iran imewanyonga wanaume wawili mashoga baada ya kupatikana na tuhuma za ulawiti

Maureen MedzaFebruary 1, 2022February 1, 2022

Mapenzi ya jinsia moja ni kinyume cha sheria nchini Iran, hii ikiwa mojawapo ya maeneo yenye ukandamizaji mkubwa wa watu wa makundi ya LGBTQ.

Aliyekuwa Miss USA Cheslie Kryst amefariki dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa ya 60 ya jengo
Arts & Culture Entertainment Gender International Lifestyle & Health People

Aliyekuwa Miss USA Cheslie Kryst amefariki dunia baada ya kuruka kutoka ghorofa ya 60 ya jengo

Maureen MedzaFebruary 1, 2022February 1, 2022

Saa chache kabla ya kifo chake, Kryst aliandika kwenye mtandao “natumai hii siku itakuletea pumziko na amani.”

Burkina Faso: Kesi ya mauaji ya Sankara kuendelea baada ya katiba kurejeshwa
Africa People Politics

Burkina Faso: Kesi ya mauaji ya Sankara kuendelea baada ya katiba kurejeshwa

Maureen MedzaFebruary 1, 2022February 1, 2022

Sankara na wenzake 12 waliuawa kwa kupigwa risasi na kikosi cha washambuliaji mnamo Oktoba 15, 1987,

Watu watano wauawa katika shambulizi la bomu  kaskazini mwa Kenya
Africa East Africa Features

Watu watano wauawa katika shambulizi la bomu kaskazini mwa Kenya

Maureen MedzaJanuary 31, 2022January 31, 2022

Mkoa wa Mandera unakabiliwa na uvamizi katika mpaka wake na Somalia, ambapo wanamgambo wa Al-Shabaab wanadhibiti maeneo mengi ambapo usalama ni dhaifu.

Misri na Senegal wafuzu kushiriki nusu fainali ya AFCON
Africa Sports

Misri na Senegal wafuzu kushiriki nusu fainali ya AFCON

Maureen MedzaJanuary 31, 2022January 31, 2022

Shirikisho  la Soka Afrika lilisema kuwa nusu fainali ya pili tarehe Februari 3 kati ya wenyeji na Misri na fainali Februari 6 itafanyika katika uwanja wa Olembe

Rwanda yafungua tena mpaka wake na Uganda baada ya kufungwa kwa miaka mitatu
Africa Business / Finance East Africa Features Politics

Rwanda yafungua tena mpaka wake na Uganda baada ya kufungwa kwa miaka mitatu

Maureen MedzaJanuary 31, 2022January 31, 2022

Mpaka huo ulifungwa Februari 2019 baada ya mvutano wa kisiasa kati ya Kigali na Kampala.

Wafanyakazi wa Burkina wamechukulia mapinduzi kama ‘habari njema’
Africa Features Politics

Wafanyakazi wa Burkina wamechukulia mapinduzi kama ‘habari njema’

Maureen MedzaJanuary 29, 2022January 29, 2022

Asilimia 40 ya wakazi wa Burkinabe wanaishi maisha ya uchochole kulingana na Benki ya Dunia.

Jeshi lililoongoza mapinduzi Burkina Faso linataka kuungwa mkono na jumuiya ya kimataifa
Africa Features People Politics

Jeshi lililoongoza mapinduzi Burkina Faso linataka kuungwa mkono na jumuiya ya kimataifa

Maureen MedzaJanuary 28, 2022January 28, 2022

Burkina Faso inaungana na nchi nyingine mbili za ECOWAS — Mali na Guinea — ambapo kumekuwa na mapinduzi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.

Takriban watu 80 wafariki kutokana na dhoruba Ana kusini mwa Afrika
Africa Nature

Takriban watu 80 wafariki kutokana na dhoruba Ana kusini mwa Afrika

Maureen MedzaJanuary 28, 2022January 28, 2022

Msumbiji na vituo vya hali ya hewa vya kimataifa vilionya kwamba dhoruba nyingine, iitwayo Batsirai, imezuka kwenye Bahari ya Hindi na inaelekea nchi kavu

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo