Kylie Jenner ndio mwanamke mwenye wafuasi wengi zaidi kwenye Instagram
Mtu aliye na wafuasi wengi zaidi kwenye Instagram duniani ni Cristiano Ronaldo,akiwa na wafuasi milioni 389.
Mtu aliye na wafuasi wengi zaidi kwenye Instagram duniani ni Cristiano Ronaldo,akiwa na wafuasi milioni 389.
Mapenzi ya jinsia moja ni kinyume cha sheria nchini Iran, hii ikiwa mojawapo ya maeneo yenye ukandamizaji mkubwa wa watu wa makundi ya LGBTQ.
Saa chache kabla ya kifo chake, Kryst aliandika kwenye mtandao “natumai hii siku itakuletea pumziko na amani.”
Sankara na wenzake 12 waliuawa kwa kupigwa risasi na kikosi cha washambuliaji mnamo Oktoba 15, 1987,
Mkoa wa Mandera unakabiliwa na uvamizi katika mpaka wake na Somalia, ambapo wanamgambo wa Al-Shabaab wanadhibiti maeneo mengi ambapo usalama ni dhaifu.
Shirikisho la Soka Afrika lilisema kuwa nusu fainali ya pili tarehe Februari 3 kati ya wenyeji na Misri na fainali Februari 6 itafanyika katika uwanja wa Olembe
Mpaka huo ulifungwa Februari 2019 baada ya mvutano wa kisiasa kati ya Kigali na Kampala.
Asilimia 40 ya wakazi wa Burkinabe wanaishi maisha ya uchochole kulingana na Benki ya Dunia.
Burkina Faso inaungana na nchi nyingine mbili za ECOWAS — Mali na Guinea — ambapo kumekuwa na mapinduzi katika kipindi cha miezi 18 iliyopita.
Msumbiji na vituo vya hali ya hewa vya kimataifa vilionya kwamba dhoruba nyingine, iitwayo Batsirai, imezuka kwenye Bahari ya Hindi na inaelekea nchi kavu