• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Mfalme wa jamii ya Khoisan akamatwa na polisi
Africa Lifestyle & Health People

Mfalme wa jamii ya Khoisan akamatwa na polisi

Maureen MedzaJanuary 12, 2022January 12, 2022

Kikundi cha jamii ya Khoisan kimekuwa kikidai kutambuliwa, kurejeshewa ardhi na kutambuliwa kwa lugha yao

Mshairi Maya Angelou awa mwanamke wa kwanza mweusi kuwa kwenye sarafu ya Amerika
Arts & Culture Gender International People

Mshairi Maya Angelou awa mwanamke wa kwanza mweusi kuwa kwenye sarafu ya Amerika

Maureen MedzaJanuary 12, 2022January 12, 2022

“Ninajivunia kwamba sarafu hizi zinasherehekea michango ya baadhi ya wanawake waanzilishi wa Amerika, Janet Yellen.

Mwanamume nchini China achoma moto vifaa vya mtandao baada ya kukasirishwa na kasi ya polepole ya mtandao
Asia Entertainment Science & Tech

Mwanamume nchini China achoma moto vifaa vya mtandao baada ya kukasirishwa na kasi ya polepole ya mtandao

Maureen MedzaJanuary 12, 2022January 12, 2022

Moto huo ulisababisha karibu kaya na ofisi 4,000, pamoja na hospitali, kukosa huduma ya mtandao kwa saa 28 hadi 50.

Uganda: Mahakama yamshtaki mwandishi kwa ‘kumsumbua’ rais Yoweri Museveni
Africa Arts & Culture East Africa People

Uganda: Mahakama yamshtaki mwandishi kwa ‘kumsumbua’ rais Yoweri Museveni

Maureen MedzaJanuary 11, 2022January 11, 2022

Kakwenza Rukirabashaija ameshtakiwa kwa makosa mawili ya “mawasiliano ya kukera” na kuwekwa rumande hadi Januari 21

Kiongozi wa Mali Assimi Goita yuko tayari kufanya mazungumzo na jumuiya ya kikanda ya ECOWAS
Africa Features People Politics

Kiongozi wa Mali Assimi Goita yuko tayari kufanya mazungumzo na jumuiya ya kikanda ya ECOWAS

Maureen MedzaJanuary 11, 2022January 11, 2022

Mali iliwekewa vikwazo baada ya kuchelewesha uchaguzi uliopangwa kufanyika Febuari 2022

Ofisi ya chama tawala cha Angola MPLA yachomwa moto
Africa People Politics

Ofisi ya chama tawala cha Angola MPLA yachomwa moto

Maureen MedzaJanuary 11, 2022January 11, 2022

Ofisi ya chama tawala cha Angola ilichomwa moto siku ya Jumatatu wakati wa maandamano ya madereva wa mabasi.

Umoja wa Mataifa unawashinikiza viongozi wa Somalia kuweka wazi tarehe ya uchaguzi
Africa Features People Politics

Umoja wa Mataifa unawashinikiza viongozi wa Somalia kuweka wazi tarehe ya uchaguzi

Maureen MedzaJanuary 10, 2022January 10, 2022

Mgogoro huo wa uchaguzi umezua mzozo mkali wa madaraka kati ya Roble na Rais Mohamed Abdullahi Mohamed

Mtoto aliyepotea wakati wa kuhamishwa kwa maelfu ya wa Afghanistan aunganishwa na jamaa zake
Asia International Politics

Mtoto aliyepotea wakati wa kuhamishwa kwa maelfu ya wa Afghanistan aunganishwa na jamaa zake

Maureen MedzaJanuary 10, 2022January 10, 2022

Uwanja wa ndege wa Kabul ulivamiwa mwezi Agosti wakati maelfu ya watu walipokuwa wakihama kwenda Amerika baada ya majeshi ya Amerika kuondoka Afghanistan.

Wanafuzi wa Uganda warudi shule baada ya miaka miwili
Africa Features Lifestyle & Health

Wanafuzi wa Uganda warudi shule baada ya miaka miwili

Maureen MedzaJanuary 10, 2022January 10, 2022

Wanafunzi wapatao milioni 15 hawajahudhuria shule nchini Uganda tangu Machi 2020.

Watu sita wafariki kwenye mafuriko Afrika Kusini
Africa Environment

Watu sita wafariki kwenye mafuriko Afrika Kusini

Maureen MedzaJanuary 10, 2022January 10, 2022

Mvua za ghafla zimenyesha sehemu za mkoa wa kusini ikijumuisha East London kwenye pwani ya Bahari ya Hindi

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo