• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Jiji janja “15 minute City”
Environment International Science & Tech

Jiji janja “15 minute City”

Maureen MedzaNovember 24, 2021November 24, 2021

“15 minute city” ni mji ambapo wakaazi wote wanaweza kufikia sehemu zao kazi na maeneo ya burudani ndani ya robo saa kwa kutembea au kuendesha baiskeli

Africa Environment Lifestyle & Health Nature

Bondia Mike Tyson ateuliwa na Malawi kuwa balozi wake wa bangi

Maureen MedzaNovember 24, 2021November 24, 2021

Wizara ya kilimo ya Malawi imemwandikia barua bingwa wa ndondi duniani Mike Tyson ikimuomba kuwa balozi wake maalum wa bangi…

Umoja wa mataifa kuhamisha familia za wafanyakazi wake kutoka Ethiopia
Africa East Africa International People Politics

Umoja wa mataifa kuhamisha familia za wafanyakazi wake kutoka Ethiopia

Maureen MedzaNovember 24, 2021November 24, 2021

Agizo hilo lilitolewa baada ya Ufaransa kuwa nchi ya hivi punde kuwashauri raia wake kuondoka Ethiopia, kufuatia ushauri sawa na wa Amerika na Uingereza

Kampuni ya Uber Eats kuwasilisha bangi kwa wateja wake
International Lifestyle & Health

Kampuni ya Uber Eats kuwasilisha bangi kwa wateja wake

Maureen MedzaNovember 23, 2021November 23, 2021

Mamlaka ya Ontario iliruhusu uwasilishaji na uchukuzi wa bangi wakati wa janga la UVIKO 19.

Abdalla Hamdok: Maisha yake kabla na baada ya kubanduliwa madarakani
Africa Middle East People Politics

Abdalla Hamdok: Maisha yake kabla na baada ya kubanduliwa madarakani

Maureen MedzaNovember 23, 2021November 23, 2021

Baada ya wiki kadhaa za kifungo cha nyumbani, ambapo Sudan ilitikiswa na maandamano makubwa, alirejea rasmi serikalini chini ya makubaliano na Jenerali Abdel Fattah al-Burhan

Fahamu wafungwa wengine waliofaulu kutoroka kutoka magereza yenye ulinzi mkali zaidi duniani
Africa East Africa International People

Fahamu wafungwa wengine waliofaulu kutoroka kutoka magereza yenye ulinzi mkali zaidi duniani

Maureen MedzaNovember 20, 2021November 20, 2021

Watuhumiwa watatu wa ugaidi Musharaf Abdalla almaarufu Alex Shikanda, Joseph Juma Odhiambo, na Mohammed Ali Abikar walitoroka kutoka gereza la…

Marais japo kwa muda: Kamala Harris na William Ruto
Africa East Africa Features International People Politics

Marais japo kwa muda: Kamala Harris na William Ruto

Maureen MedzaNovember 20, 2021November 20, 2021

Rais Uhuru Kenyatta alitumia katiba kumteua Naibu Rais William Ruto kaimu rais kwa muda wa siku tatu alipokuwa The Hague Uholanzi.

Teodoro Obiang Nguema Mbasogo: Rais ambaye amekuwa madarakani kwa zaidi ya miongo minne
Africa Features International People Politics

Teodoro Obiang Nguema Mbasogo: Rais ambaye amekuwa madarakani kwa zaidi ya miongo minne

Maureen MedzaNovember 20, 2021November 20, 2021

Mnamo Julai 2003, redio inayoendeshwa na serikali ilimtangaza Obiang “mungu wa nchi” mwenye “nguvu zote juu ya wanadamu na vitu.”

Pakistan yapitisha adhabu ya kuwahasi wabakaji kwa kutumia kemikali
Asia Gender International Lifestyle & Health Middle East Politics

Pakistan yapitisha adhabu ya kuwahasi wabakaji kwa kutumia kemikali

Maureen MedzaNovember 19, 2021November 19, 2021

Kuhasiwa kwa kemikali, hufanywa nchini Poland, Korea Kusini, Jamhuri ya Czech na baadhi ya majimbo ya Amerika.

Wanafunzi wa Korea Kusini waandika mtihani mgumu zaidi duniani
Asia International People Science & Tech

Wanafunzi wa Korea Kusini waandika mtihani mgumu zaidi duniani

Maureen MedzaNovember 19, 2021November 19, 2021

Maisha ya wanafunzi hutegemea sana alama watakazopata katika mtihani huu wa Suneung kutoka chuo kikuu watakachosomea, hadi kazi watakazofanya, mshahara watakaopokea na hata uhusiano wa kimapenzi wa baadae

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo