P Square: Nyota wa mtindo wa Afrobeats waungana tena
Inasemekana kuwa chanzo cha kusambaratika ni malalamiko kutoka kwa Peter kutaka mabadiliko katika uongozi kwa madai kuwa kundi lilionekana la kifamilia zaidi kuliko kibiashara
Inasemekana kuwa chanzo cha kusambaratika ni malalamiko kutoka kwa Peter kutaka mabadiliko katika uongozi kwa madai kuwa kundi lilionekana la kifamilia zaidi kuliko kibiashara
Mlipuaji wa kujitoa mhanga aliyejilipua katika makao makuu ya polisi ametambuliwa kama Mansoor Uthman,aliyejilipua barabara ya Parliamentary ametambuliwa kama Wanjusi abdallah.
Wanaume hao walikana kuhusika na mauaji ya Malcolm X na walitarajiwa kuachiliwa rasmi wiki hii baada ya uchunguzi uliodumu kwa miezi 22.
Waandamanaji wamejitokeza tangu mapinduzi yalipotekelezwa licha ya kukatika kwa intaneti na huduma za mawasiliano, jambo ambalo lililazimu wanaharakati kusambaza wito wa maandamano kupitia grafiti na jumbe za SMS.
“Takriban watu sita wameuawa na wengine 33 kujeruhiwa”, amesema msemaji wa polisi Fred Enanga, inadaiwa kuwa walipuaji watatu wakujitoa muhanga wamehusika katika mashambuzlizi ya leo.
Baraza la wazee wenye ushawishi mkubwa kutoka Misrata limetoa wito wa kususia uchaguzi.
Zipo kazi ambazo unaweza kufanya bila kuhitaji stakabadhi za chuo kikuu au kuhitaji tajriba ya miaka mingi.
Kulingana na wanahistoria, Mansa Musa bado ndio mtu tajiri zaidi aliyewahi kuishi,thamani yake kwa viwango vya fedha vya sasa ni dola bilioni 400.
FW de Klerk alisaidia kukomesha enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini, na akawa mmoja wa manaibu marais wawili baada ya uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1994 ambao ulishuhudia Bw Mandela akiwa rais
Akiwa Rais Mujica hakubadili maisha yake hata kidogo, 90% ya mshahara wake ambao ulikuwa ni takriban $12,000 ulitumika kuwasaidia wasiojiweza katika jamii.