• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

P Square: Nyota wa mtindo wa Afrobeats waungana tena
Africa Arts & Culture Entertainment International People

P Square: Nyota wa mtindo wa Afrobeats waungana tena

Maureen MedzaNovember 19, 2021November 19, 2021

Inasemekana kuwa chanzo cha kusambaratika ni malalamiko kutoka kwa Peter kutaka mabadiliko katika uongozi kwa madai kuwa kundi lilionekana la kifamilia zaidi kuliko kibiashara

Rais wa Uganda Yoweri Museveni awataja magaidi waliohusika katika milipuko Kampala
Africa East Africa International People Politics

Rais wa Uganda Yoweri Museveni awataja magaidi waliohusika katika milipuko Kampala

Maureen MedzaNovember 18, 2021November 18, 2021

Mlipuaji wa kujitoa mhanga aliyejilipua katika makao makuu ya polisi ametambuliwa kama Mansoor Uthman,aliyejilipua barabara ya Parliamentary ametambuliwa kama Wanjusi abdallah.

Wanaume wawili waliohukumiwa kwa mauaji ya 1965 ya Malcolm X kufutiwa hukumu
International People Politics

Wanaume wawili waliohukumiwa kwa mauaji ya 1965 ya Malcolm X kufutiwa hukumu

Maureen MedzaNovember 18, 2021November 18, 2021

Wanaume hao walikana kuhusika na mauaji ya Malcolm X na walitarajiwa kuachiliwa rasmi wiki hii baada ya uchunguzi uliodumu kwa miezi 22.

Idadi ya wale waliouawa katika maandamano ya Millions March imefika nane
Africa Features International People Politics

Idadi ya wale waliouawa katika maandamano ya Millions March imefika nane

Maureen MedzaNovember 17, 2021November 17, 2021

Waandamanaji wamejitokeza tangu mapinduzi yalipotekelezwa licha ya kukatika kwa intaneti na huduma za mawasiliano, jambo ambalo lililazimu wanaharakati kusambaza wito wa maandamano kupitia grafiti na jumbe za SMS.

Takriban watu watatu wauawa na wengine 33 kujeruhiwa katika milipuko miwili Kampala,Uganda
Africa East Africa Politics

Takriban watu watatu wauawa na wengine 33 kujeruhiwa katika milipuko miwili Kampala,Uganda

Maureen MedzaNovember 16, 2021November 16, 2021

“Takriban watu sita wameuawa na wengine 33 kujeruhiwa”, amesema msemaji wa polisi Fred Enanga, inadaiwa kuwa walipuaji watatu wakujitoa muhanga wamehusika katika mashambuzlizi ya leo.

Wazee na mwendesha mashtaka wa Libya wapinga nia ya mwanawe Gaddafi kugombea urais
Africa Features International Middle East People

Wazee na mwendesha mashtaka wa Libya wapinga nia ya mwanawe Gaddafi kugombea urais

Maureen MedzaNovember 16, 2021November 16, 2021

Baraza la wazee wenye ushawishi mkubwa kutoka Misrata limetoa wito wa kususia uchaguzi.

Umetafuta kazi umekosa jaribu hizi ambazo hazihitaji shahada ya chuo
Africa Arts & Culture Asia

Umetafuta kazi umekosa jaribu hizi ambazo hazihitaji shahada ya chuo

Maureen MedzaNovember 13, 2021November 13, 2021

Zipo kazi ambazo unaweza kufanya bila kuhitaji stakabadhi za chuo kikuu au kuhitaji tajriba ya miaka mingi.

Elon Musk na Jeff Bezos kando, tajiri mkubwa zaidi alikuwa mwafrika
Africa Arts & Culture International People

Elon Musk na Jeff Bezos kando, tajiri mkubwa zaidi alikuwa mwafrika

Maureen MedzaNovember 13, 2021November 13, 2021

Kulingana na wanahistoria, Mansa Musa bado ndio mtu tajiri zaidi aliyewahi kuishi,thamani yake kwa viwango vya fedha vya sasa ni dola bilioni 400.

Mfahamu zaidi rais wa mwisho mweupe wa Afrika Kusini FW de Klerk
Africa International People Politics

Mfahamu zaidi rais wa mwisho mweupe wa Afrika Kusini FW de Klerk

Maureen MedzaNovember 12, 2021November 12, 2021

FW de Klerk alisaidia kukomesha enzi ya ubaguzi wa rangi Afrika Kusini, na akawa mmoja wa manaibu marais wawili baada ya uchaguzi wa vyama vingi mwaka 1994 ambao ulishuhudia Bw Mandela akiwa rais

Alitajwa kuwa ‘Rais maskini zaidi duniani’ kwa kuamua kuishi maisha ya kawaida.
International People Politics

Alitajwa kuwa ‘Rais maskini zaidi duniani’ kwa kuamua kuishi maisha ya kawaida.

Maureen MedzaNovember 11, 2021November 11, 2021

Akiwa Rais Mujica hakubadili maisha yake hata kidogo, 90% ya mshahara wake ambao ulikuwa ni takriban $12,000 ulitumika kuwasaidia wasiojiweza katika jamii.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo