• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Je, nani ataibuka mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or 2021?
Africa Entertainment Europe Football Gender International People Sports

Je, nani ataibuka mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or 2021?

Maureen MedzaOctober 14, 2021October 14, 2021

Nyota wa kandanda Lionel Messi, Jorginho na N’Golo Kante wametajwa katika orodha ya wachezaji wengine 30 watakaowania tuzo ya Ballon d’Or 2021.

Wafahamu watu walioinukia kwenye Sanaa na michezo na baadae kushinda nyadhfa za uongozi nchi mwao
Africa Arts & Culture Asia Football Gender International People Politics Sports

Wafahamu watu walioinukia kwenye Sanaa na michezo na baadae kushinda nyadhfa za uongozi nchi mwao

Maureen MedzaOctober 14, 2021October 14, 2021

Rais wa Liberia George Weah alikuwa mwanakandanda wa timu ya taifa kwa miaka mingi kabla ya kujiunga na siasa na kuwa rais wa taifa.

Mumewe Agnes Tirop ndiye mtuhumiwa mkuu wa mauaji yake
East Africa Gender People Sports

Mumewe Agnes Tirop ndiye mtuhumiwa mkuu wa mauaji yake

Maureen MedzaOctober 14, 2021October 14, 2021

Mauaji ya mwanariadha wa Kenya Agnes Tirop huenda yalitokana na mzozo wa kimapenzi.

Maafisa wa serikali Burundi walio na uhusiano wa kando kufutwa kazi
Africa Gender People Politics

Maafisa wa serikali Burundi walio na uhusiano wa kando kufutwa kazi

Maureen MedzaOctober 13, 2021October 13, 2021

Rais Ndayishimiye anasema agizo hilo ni kwa heshima ya mwendazake rais wa Burundi Pierre Nkurunziza aliyekuwa ameokoka

Rais Uhuru Kenyatta akataa uamuzi wa ICJ juu ya mzozo wa mpaka wa baharini wa Kenya na Somalia
Business / Finance East Africa Politics

Rais Uhuru Kenyatta akataa uamuzi wa ICJ juu ya mzozo wa mpaka wa baharini wa Kenya na Somalia

Maureen MedzaOctober 13, 2021October 13, 2021

Mzozo wa mpaka kati ya Kenya na Somalia umekuwa kiini cha hali tete ya kiplomasia kati ya mataifa hayo mawili kwa zaidi ya miongo minne.

Mrembo atakae wakilisha Kenya katika shindano la Miss Universe Kenya asakwa,pengine ni wewe!
Arts & Culture East Africa Entertainment Gender International

Mrembo atakae wakilisha Kenya katika shindano la Miss Universe Kenya asakwa,pengine ni wewe!

Maureen MedzaOctober 12, 2021October 13, 2021

Tangu shindano hilo lilipozinduliwa 1952, mataifa manne ya Afrika. Afrika Kusini, Botswana, Namibia na Angola yameshinda tuzo hiyo.

Fulana aliyovaa mwanariadha Eliud Kipchoge katika mbio alizoshiriki yanunuliwa katika mnada kwa Ksh 242,472
Africa East Africa Gender People Sports

Fulana aliyovaa mwanariadha Eliud Kipchoge katika mbio alizoshiriki yanunuliwa katika mnada kwa Ksh 242,472

Maureen MedzaOctober 12, 2021October 12, 2021

Mnada ulifanywa na Catawiki kwa lengo la kupata fedha za kufadhili elimu ya wanafunzi maskini kupitia wakfu wa Eliud Kipchoge.

Kesi ya mauaji ya Thomas Sankara yaanza miaka 34 baada ya kifo chake
Africa People

Kesi ya mauaji ya Thomas Sankara yaanza miaka 34 baada ya kifo chake

Maureen MedzaOctober 12, 2021October 12, 2021

Mahakama ya kijeshi Ouagadougou imeanza kusikiliza kesi inayowakabili watu 14 wanaotuhumiwa kwa mauaji ya Thomas Sankara miaka 34 iliyopita.

Filamu ya James Bond, “No Time to Die” onyesho la kwanza lafanyika nchini Uingereza.
Arts & Culture Entertainment Europe Gender International People

Filamu ya James Bond, “No Time to Die” onyesho la kwanza lafanyika nchini Uingereza.

Maureen MedzaOctober 2, 2021October 2, 2021

Filamu za James Bond zinatokana na vitabu vilivyoandikwa na Ian Fleming, mwandishi kutoka Uingereza aliyeandika vitabu hivyo hadi mwaka 1953.Nyota wa vitabu hivyo James Bond akiwa ni jasusi anayejulikana kwa jina “007”

Je, mwanamume huyu kutoka Eritrea ndio mzee zaidi kuwahi kuishi?
Africa Arts & Culture Gender Lifestyle & Health People

Je, mwanamume huyu kutoka Eritrea ndio mzee zaidi kuwahi kuishi?

Maureen MedzaOctober 2, 2021October 2, 2021

Mjukuu wake Zere Natabay, anasema anarekodi za kanisa, ikiwemo cheti chake cha kuzaliwa kinachoonesha kuwa alizaliwa mwaka wa 1894, pamoja na mwaka aliobatizwa ikithibitisha aliaga dunia akiwa na umri wa miaka 127.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo