• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Maureen Medza

Misri: Watalii wauawa baada ya kushambuliwa na papa
Africa Features

Misri: Watalii wauawa baada ya kushambuliwa na papa

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Wanawake wawili, mmoja raia wa Austria na mwingine raia wa Romania, waliuawa katika shambulio la papa katika bahari ya Red Sea

Viongozi wa ECOWAS waiondolea Mali vikwazo
Africa Features People Politics

Viongozi wa ECOWAS waiondolea Mali vikwazo

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Mali ilifanya mapinduzi Agosti 2020 na Mei 2021, ikifuatiwa na Guinea Septemba 2021 na Burkina Faso mwezi Januari

Nigeria:  Polisi waokoa makumi ya watu wakiwemo watoto waliokuwa wakizuiliwa kanisani
Africa Features

Nigeria: Polisi waokoa makumi ya watu wakiwemo watoto waliokuwa wakizuiliwa kanisani

Maureen MedzaJuly 4, 2022July 4, 2022

Polisi wa Nigeria wamewaokoa makumi ya watu, wakiwemo watoto, kutoka kwenye chumba cha chini cha kanisa ambako walikuwa wameambiwa wangojee kile walichoamini kungekuwa ujio wa pili wa Kristo

Sudan: Vitoza machozi vyafyatuliwa kwenye maandamano ya kupinga mapinduzi
Africa Features People Politics

Sudan: Vitoza machozi vyafyatuliwa kwenye maandamano ya kupinga mapinduzi

Maureen MedzaJuly 1, 2022July 1, 2022

Wasudan waandamana kupinga unyakuzi wa kijeshi ulioongozwa na mkuu wa jeshi Abdel Fattah al-Burhan Oktoba mwaka jana.

William Ruto azindua manifesto ya Kenya Kwanza
East Africa People Politics

William Ruto azindua manifesto ya Kenya Kwanza

Maureen MedzaJuly 1, 2022July 1, 2022

Zaidi ya hayo, kaunti zitahimizwa kuondoa ada za leseni za biashara mpya zilizoanzishwa na watu wenye ulemavu, huku zikiondoa ushuru wa vifaa vyote vya usaidizi kwa walemavu vinavyoagizwa kutoka nje.

Mwanawe Fela Kuti aghairi tamasha la Morocco kutokana na vifo vya wahamiaji
Africa Entertainment Features People

Mwanawe Fela Kuti aghairi tamasha la Morocco kutokana na vifo vya wahamiaji

Maureen MedzaJuly 1, 2022July 1, 2022

Mwimbaji na mcheza saxophone huyo alikuwa amepangwa kucheza siku ya Jumamosi katika tamasha la Jazzablanca katika jiji la bandari la Morocco la Casablanca.

Kenya yatoa motisha ya kodi ili kuwavutia wawekezaji
Features Lifestyle & Health

Kenya yatoa motisha ya kodi ili kuwavutia wawekezaji

Maureen MedzaJune 30, 2022June 30, 2022

Kenya imetoa motisha ya kodi ili kuwavutia wawekezaji wanaotaka kujenga viwanda vya kuzalisha chanjo za binadamu ikiwa ni pamoja na ya UVIKO -19.

Nigeria: Watu wenye silaha washambulia mgodi  na kuwateka nyara wafanyakazi wanne raia wa China
Africa Features

Nigeria: Watu wenye silaha washambulia mgodi na kuwateka nyara wafanyakazi wanne raia wa China

Maureen MedzaJune 30, 2022June 30, 2022

Wafanyakazi wa China wanaofanya kazi kwenye migodi na miradi mikubwa ya miundombinu katika maeneo ya mbali mara nyingi hulengwa kwa utekaji nyara,

Mwanawe dikteta, Ferdinand Marcos Jr. ala kiapo cha kuwa Rais wa Ufilipino
Asia Features People Politics

Mwanawe dikteta, Ferdinand Marcos Jr. ala kiapo cha kuwa Rais wa Ufilipino

Maureen MedzaJune 30, 2022June 30, 2022

Amenufaika kutokana na taarifa potofu kwenye mitandao ya kijamii zinazowalenga wapiga kura wengi vijana ambao hawana kumbukumbu ya ufisadi, mauaji na dhuluma nyinginezo zilizofanywa wakati wa utawala wa miaka 20 wa mzee Marcos.

Mume wa mwanariadha wa Kenya aliyeuawa Tirop aomba kupunguziwa hukumu
Features Gender People Sports

Mume wa mwanariadha wa Kenya aliyeuawa Tirop aomba kupunguziwa hukumu

Maureen MedzaJune 30, 2022June 30, 2022

Emmanuel Ibrahim Rotich alikamatwa baada ya msako mkali wa usiku wa manane siku moja baada ya mwili wa Tirop kupatikana ukiwa na majeraha ya kuchomwa kisu, na amekuwa kizuizini tangu wakati huo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo