• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Author: Victor Wanaswa

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto
Kenya Politics

Kenya: Karua amkosoa rais mteule William Ruto

Victor WanaswaAugust 19, 2022July 2, 2024

Mgombea mwenza wa  Azimio la Umoja Martha Karua amemkashifu rais mteule William Ruto kwa kile ametaja kama kwenda kinyume na sheria ya Kenya katika kuvutia upande wake vyama washirika wa Azimio la Umoja.

Ubalozi wa Marekani wakutana na rais Uhuru Kenyatta
Africa East Africa Europe Politics

Ubalozi wa Marekani wakutana na rais Uhuru Kenyatta

Victor WanaswaAugust 18, 2022August 19, 2022

Seneta wa Marekani Chris Coons amekutana na kufanya mazungumzo na rais Uhuru Kenyatta.

Kenya: Macho yote yanaangazia mahakama ya upeo baada ya Odinga kupinga matokeo
East Africa Politics

Kenya: Macho yote yanaangazia mahakama ya upeo baada ya Odinga kupinga matokeo

Victor WanaswaAugust 18, 2022August 18, 2022

Wakenya wanasubiri kuona jinsi mahakama ya upeo itashughulikia kesi ya urais iwapo Raila Odinga atawasilisha kesi mahamani,

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuelekea mahakamani
East Africa Politics

Kiongozi wa Azimio Raila Odinga kuelekea mahakamani

Victor WanaswaAugust 17, 2022August 17, 2022

Sasa ni wazi kuwa mgombea wa Azimio la Umoja One Kenya Raila Odinga atarejea katika mahakama ya upeo mwaka huu baada ya tume huru ya uchaguzi na mipaka IEBC kumtangaza William Ruto kama mshindi wa uchaguzi mkuu wa agosti mwaka 2022.

Kenya: Je ni nani ataibuka mshindi?
East Africa

Kenya: Je ni nani ataibuka mshindi?

Victor WanaswaAugust 15, 2022August 15, 2022

Huenda wakenya wakafahamu kiongozi atakayechukua uongozi kutoka rais anayeondoka madarakani Uhuru Kenyatta leo

Watu maarufu (celebrities) walioshinda katika uchaguzi Kenya
East Africa

Watu maarufu (celebrities) walioshinda katika uchaguzi Kenya

Victor WanaswaAugust 14, 2022August 15, 2022

Uchaguzi mkuu nchini Kenya mwaka huu wa 2022 ulipelekea baadhi ya watu maarufu kujaribu bahati yao katika nyadhifa mbalimbali.

Kenya: Nairobi yapata gavana baada ya Sonko kuenguliwa
East Africa

Kenya: Nairobi yapata gavana baada ya Sonko kuenguliwa

Victor WanaswaAugust 14, 2022August 14, 2022

Sakaja sasa anakuwa gavana wa nne wa Nairobi na wa tatu kuchaguliwa na wakaazi; mpinzani wake Polycarp Igathe amekubali matokeo

Vijana wang’ara katika uchaguzi Kenya
East Africa

Vijana wang’ara katika uchaguzi Kenya

Victor WanaswaAugust 14, 2022August 13, 2022

Uchaguzi wa mwaka wa 2022 wa Kenya ulivutia idadi kubwa ya wanasiasa vijana wengi wakibwagwa huku wengine wakiwalambisha sakafu vigogo wa kisiasa.

Kenya: Idadi ya wanawake magavana yaongezeka maradufu
East Africa

Kenya: Idadi ya wanawake magavana yaongezeka maradufu

Victor WanaswaAugust 13, 2022August 13, 2022

Idadi ya wanwake waliochaguliwa magavana nchini Kenya imeongezeka maradufu kutoka watatu mwaka wa 2017 hadi saba mwaka huu wa 2022

Raila na Ruto: washirika waliogeuka wahasimu wa kisiasa
East Africa

Raila na Ruto: washirika waliogeuka wahasimu wa kisiasa

Victor WanaswaAugust 9, 2022August 9, 2022

Raila Odinga na William Ruto wamekuwa na uhusiano wa upendo na uhasama kwa muongo mmoja sasa, wote wakiwa wamechangia pakubwa…

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo