Lissu Aelezea Dhulma Anayodai Kufanyiwa Na Maafisa Wa Magereza
Lissu alieleza kuwa haki yake ya kuwasiliana na mawakili wake imekuwa ikikiukwa kwa muda mrefu, akidai kuwa maafisa wa magereza wamekuwa wakisikiliza mazungumzo yake na mawakili wake kinyume na sheria.