Makabiliano baina ya jeshi na RSF yazuka upya Sudan
Watu 27 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mapambano mapya kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF mapema wiki hii katika mji wa El-Fasher, Darfu
Watu 27 wameripotiwa kufariki dunia kutokana na mapambano mapya kati ya jeshi la Sudan na wanamgambo wa RSF mapema wiki hii katika mji wa El-Fasher, Darfu
Tanzania and the French Indian Ocean island of Mayotte were the hardest hit, the internet surveillance group said.
Katika nafasi ya pili, bingwa huyo aliweza kufuatiwa kwa karibu na Muingereza Jemma Reekie (1:58.42), Benin Noelie Yarigo wa uingereza (1:58.70) katika nafasi ya tatu, Muethiopia Habitam Alemu (1:59.08) katika nafasi ya nne na bingwa wa dunia mwaka 2019 Halimah Nakaayi kutoka Uganda (1:59.48) akatwaa nafasi ya tano, mtawalia. Mbio hizo ziliwahusisha wanariadha 11.
Dedy Itno amejizolea asilimia 61 za kura huku Succes Masra akijizolea asilimia 18.5, matokeo ambayo upinzani ukiongozwa na mgombea mwenza mkuu, Succes Masra wametofautiana na matokeo hayo.
Well-crafted local stories are “a major opportunity”, Netflix’s Africa and Middle East content vice president Ben Amadasun told AFP, on the sidelines of the Forbes Under 30 Summit Africa in the Botswanan capital Gaborone this week.
Burkina Faso, Mali and Niger, which was put under regional economic sanctions after a coup last July, are all on the UN list of the least developed nations in the world.
The World Health Organization (WHO) said 44 cases of the disease have been reported in Tana River County in eastern Kenya, one of the areas hardest hit in weeks of destructive rains and flooding.
The 42-year-old Rwigara, who is leader of the People Salvation Movement, had planned to stand in the 2017 election against Kagame but was disqualified.
A UN-sponsored court in the Central African Republic says it has issued an arrest warrant for the former president, Francois Bozizé, in connection with alleged crimes against humanity.
The currency, of which a digital version was launched earlier this month, is the latest attempt to control soaring inflation in the country