• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Africa

SERIKALI:Hakuna Marburg Tanzania
Africa East Africa

SERIKALI:Hakuna Marburg Tanzania

Asia GambaJune 2, 2023June 2, 2023

Katika kilele cha mapambano dhidi ya ugonjwa wa Marburg nchini Tanzania serikali ya nchi hiyo kupitia mganga mkuu wa serikali imesema mpaka kufikia mei 31 imekuwa na jumla ya wagonjwa 9 tu.

TUME:Hakuna uhusiano wa kifo cha Nusura na ajali ya Naibu Waziri 
Africa East Africa

TUME:Hakuna uhusiano wa kifo cha Nusura na ajali ya Naibu Waziri 

Asia GambaJune 2, 2023June 2, 2023

Mwenyekiti wa Tume hiyo, Jaji Mstaafu Mathew Mwaimu ametoa taarifa hiyo leo ambapo  amesema walitembelea mikoa ya Dodoma, Singida na Kilimanjaro na kwamba matokeo yanaonyesha kuwa kifo cha Nusura kilisababishwa na shambulio kali la kupanda kwa sukari na upungufu wa damu.

Clashes in Senegal after opposition leader sentenced to two years
Africa People Politics

Clashes in Senegal after opposition leader sentenced to two years

Mwanzo EditorJune 1, 2023June 1, 2023

A court sentenced firebrand opposition leader Ousmane Sonko to two years’ jail for “corrupting youth

Rais Samia kupokea ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 737-300F
Africa East Africa

Rais Samia kupokea ndege mpya ya mizigo aina ya Boeing 737-300F

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Rais Samia Suluhu anatarajiwa kuipokea ndege ya kwanza ya mizigo aina ya Boeing 737 – 300F itakayowasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) siku ya Jumamosi Juni 3, 2023.

Serikali ya Zanzibar yatangaza rasmi umiliki wa Shamba la Razaba huko Bagamoyo, yatoa onyo kwa wenye kutaka kujimilikisha
Africa East Africa

Serikali ya Zanzibar yatangaza rasmi umiliki wa Shamba la Razaba huko Bagamoyo, yatoa onyo kwa wenye kutaka kujimilikisha

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Taarifa iliyotolewa na  serikali ya Zanzibar, kupitia kwa msemaji wake, Charles Hilary, imeeleza kuwa shamba hilo ni mali ya serikali na haitambui mtu yoyote aliyemilikishwa; au kujimilikisha eneo hilo.

Viongozi wa Afrika Mashariki waongeza muda wa wanajeshi mashariki mwa Kongo.
Africa East Africa

Viongozi wa Afrika Mashariki waongeza muda wa wanajeshi mashariki mwa Kongo.

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Jumuiya ya nchi saba za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) ilianza kutumwa mwezi Novemba mwaka jana ambapo wanajeshi wa Kenya waliwasili katika eneo hilo lenye hali tete, na kufuatiwa mwaka huu na vikosi vya Burundi, Uganda na Sudan Kusin

Majaliwa awataka Watanzania kuiombea Yanga irudi na ushindi
Africa Sports

Majaliwa awataka Watanzania kuiombea Yanga irudi na ushindi

Asia GambaJune 1, 2023June 1, 2023

Akizungumza leo bungeni Jijini Dodoma Majaliwa amesema ni wakati wa Watanzania wote kuungana ili kuandika historia kwa pamoja na hana shaka na uwezo wa Yanga, na anaamini timu hiyo itaipeperusha vyema bendera ya Tanzania 

Zimbabwe general elections set for August 23
Africa People Politics

Zimbabwe general elections set for August 23

Mwanzo EditorMay 31, 2023May 31, 2023

Ending months of uncertainty, Zimbabwe on Wednesday set the date for presidential elections, renewing the prospect of a battle between…

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku
Africa East Africa

WHO:Watu milioni 8 hupoteza maisha kila mwaka kutokana na tumbaku

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Ikiwa leo ni siku ya kupinga matumizi ya tumbaku duniani shirika la Umoja wa Mataifa  la afya duniani WHO, limezitaka nchi kuacha kutoa ruzuku kwa kilimo cha tumbaku na badala yake kuunga mkono na kusaidia kilimo cha mazao endelevu yatakayoweza kulisha mamilioni ya watu wenye uhitaji wa chakula.

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi
Africa East Africa

Ukata kusababisha WFP Tanzania kupunguza mgao wa chakula kwa wakimbizi

Asia GambaMay 31, 2023May 31, 2023

Zaidi ya wakimbizi 200,000 walioko nchini Tanzania wataanza kupokea nusu mgao wa chakula wanachopatiwa kutokana na ukata unaokabili shirika la…

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy