• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Crime & Justice

Shahidi Akiri Kutojua Sheria Inayoeleza Kuzuia Uchaguzi ni Kosa
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Akiri Kutojua Sheria Inayoeleza Kuzuia Uchaguzi ni Kosa

Wadh KassimFebruary 19, 2026February 20, 2026

Shahidi huyo alisisitiza kuwa kwa ufahamu wake kuzuia uchaguzi ni kosa.Aidha, alipoulizwa kuhusu shtaka la Uhaini linalomkabili Lissu, shahidi alisema anafahamu Lissu anashtakiwa kwa Uhaini lakini alikiri hafahamu vipengele vyote vya shtaka hilo zaidi ya madai ya kauli zinazohusiana na uchaguzi.

Paris Prosecutor Calls on Epstein Victims in France to Testify
Crime & Justice International

Paris Prosecutor Calls on Epstein Victims in France to Testify

Wadh KassimFebruary 18, 2026

The call to file complaints and give evidence follows the latest cache of millions of files released last month by the US Justice Department from the investigation into Epstein, who died in prison in 2019.

Hacker Accesses Info on 1.2 mn French Bank Accounts: Ministry
Business / Finance Crime & Justice International

Hacker Accesses Info on 1.2 mn French Bank Accounts: Ministry

Wadh KassimFebruary 18, 2026

Since the end of January, the hacker used the stolen credentials of an official to access and consult “parts of the file of all of the accounts open in French banks and which contains personal data such as bank account numbers, name of the account holder, address and in certain cases the account owner’s tax number,” the ministry said in a statement.

Shahidi: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Ndio Maana Tulikamatwa
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi: Kuzuia Uchaguzi ni Kosa Ndio Maana Tulikamatwa

Wadh KassimFebruary 18, 2026February 18, 2026

Shahidi huyo mkazi wa Arusha mwenye umri wa miaka 26 amekiri kutokuwepo kwa baadhi ya maelezo ya ushahidi wake ambapo katika ushahidi aliousema Mahakamani leo, baadhi ya maelezo hakuandika katika maelezo yake ya Polisi.

Shahidi wa 10 wa Jamhuri Aeleza Sababu za Kutoa Ushahidi Wenye Kizimba cha Siri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi wa 10 wa Jamhuri Aeleza Sababu za Kutoa Ushahidi Wenye Kizimba cha Siri

Wadh KassimFebruary 17, 2026

Shahidi wa 10 wa Jamhuri ameieleza Mahakama sababu zilizomfanya kutoa ushahidi wake akiwa kwenye kizimba cha siri, akidai kuwa anahofia usalama wa maisha yake.

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Lissu Atumia PGO Kumuhoji Shahidi wa Jamhuri

Wadh KassimFebruary 17, 2026February 17, 2026

Shahidi alidai kuwa Aprili 3, 2025 alikuwa katika doria jijini Arusha akiwa na askari wengine wanane, wakitumia gari aina ya Toyota. Wakiwa doria, alipokea maelekezo kupitia *radio call* kutoka kwa Kaimu Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Arusha, Boni Mgogo, kuhusu taarifa za vijana wanaodaiwa kuhamasishana kuzuia Uchaguzi Mkuu wa 2025 katika eneo la Mromboo

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Tanzania

Shahidi Aeleza Hotubu Ya Lissu Ilivyomshawishi Kuunga Mkono Agenda Ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 16, 2026

Shahidi alidai kauli hiyo ilimpa hamasa ya kuwahamasisha vijana wenzake wa mtaani zoezi ambalo alilifanya Aprili 8, 2025 katika eneo la Njoro maarufu Pepsi.Hata hivyo wakati akiendelea na zoezi hilo kuwahamasisha ghafla alikamatwa na Polisi huku wenzake wakikimbia

Dubai’s DP World Replaces Leader After he is Named in Epstein Emails
Crime & Justice International

Dubai’s DP World Replaces Leader After he is Named in Epstein Emails

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Dubai’s DP World named a new chairman and chief executive officer on Friday, replacing its former leader Sultan Ahmed bin Sulayem, after the Epstein files revealed frequent correspondence between him and the convicted sex offender.

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”
Africa Crime & Justice East Africa Rights & Freedoms Tanzania

Shahidi aeleza hotubu ya Lissu ilivyomshawishi kuunga mkono agenda ya “No Reform No Election”

Wadh KassimFebruary 13, 2026

Shahidi huyo alipoulizwa namna alivyobadilika kutoka kuwa mtuhumiwa wa kupanga maandamano yasiyo na kibali hadi kuwa shahidi katika kesi ya uhaini, P6 alijibu kuwa hafahamu.

#BREAKING: Top Goldman Sachs Lawyer Resigns After Epstein Ties Revealed
Crime & Justice International

#BREAKING: Top Goldman Sachs Lawyer Resigns After Epstein Ties Revealed

Wadh KassimFebruary 13, 2026

The firm’s general counsel Kathryn Ruemmler had courted intense scrutiny after the Department of Justice dumped emails in recent weeks that showed her extensive relationship with the disgraced financier.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy