• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Crime & Justice

Polisi Tanzania yaachia viongozi wakuu wa CHADEMA na baadhi ya wafuasi wake
Crime & Justice East Africa Politics Tanzania

Polisi Tanzania yaachia viongozi wakuu wa CHADEMA na baadhi ya wafuasi wake

Asia GambaAugust 13, 2024August 13, 2024

Katika taarifa ya Chadema iliyotolewa na John Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje kupitia ukurasa wake wa X zamani Twitter, imeeleza viongozi hao walirudishwa kutoka jijini Mbeya walikokamatiwa na kurejeshwa Dar es salaam usiku chini ya ulinzi wa Polisi.

Mwabukusi, Mashirika Ya kijamii wataka Waliombaka Msichana kukamatwa
Crime & Justice Tanzania

Mwabukusi, Mashirika Ya kijamii wataka Waliombaka Msichana kukamatwa

Kevin SeweAugust 5, 2024August 7, 2024

Rais wa Tanganyika Law Society (TLS)  Boniface Mwabukusi ameanza kazi kwa kujitosa katika sakata la msichana kubakwa kwa zamu na…

Mafuvu 17 ya vichwa vya watu yafukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa takatifu nchini Uganda
Crime & Justice Uganda

Mafuvu 17 ya vichwa vya watu yafukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa takatifu nchini Uganda

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Mafuvu 17 ya watu waliofukiwa kwenye masanduku ya chuma yamefukuliwa katika eneo linaloshukiwa kuwa madhabahu katikati mwa Uganda.

Wanachama 36 wa chama cha upinzani Uganda washtakiwa kwa ‘ugaidi’
Crime & Justice East Africa Uganda

Wanachama 36 wa chama cha upinzani Uganda washtakiwa kwa ‘ugaidi’

Asia GambaJuly 30, 2024August 7, 2024

Wanachama wa chama cha Forum for Democratic Change (FDC) walikamatwa nchini Kenya na kushtakiwa kwa kile wakili Erias Lukwago alichokiita “unyanyasaji” kwa utaratibu wa kisheria na mamlaka ya Uganda.

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi
Crime & Justice Tanzania

Masauni: Sativa hatoi ushirikiano mzuri kwa Polisi

Asia GambaJuly 29, 2024August 7, 2024

Waziri wa Mambo ya Ndani, Hamad Masauni, amesema kumekuwa na ushirikiano mdogo kwa waathiriwa wa utekaji pindi wanapohitajika na Jeshi la Polisi kwa ajili ya kutoa ushirikiano utakaofanikisha upelelezi.

Tanzanian Activist & Lawyer Boniface Mwabukusi Wins Appeal, to Run for TLS Presidency
Crime & Justice East Africa Tanzania

Tanzanian Activist & Lawyer Boniface Mwabukusi Wins Appeal, to Run for TLS Presidency

Joy CheptooJuly 26, 2024August 7, 2024

In an exciting turn of events, Boniface Mwabukusi, a prominent Tanzanian lawyer and activist, has won his appeal against the…

Wakili Boniface Mwabukusi ashinda rufaa, kuwania urais TLS
Crime & Justice Politics Tanzania

Wakili Boniface Mwabukusi ashinda rufaa, kuwania urais TLS

Kevin SeweJuly 26, 2024August 7, 2024

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imetoa hukumu ya kesi iliyokuwa imefunguliwa na Wakili wa kujitegemea Boniface…

IGP, RPC Tanga washtakiwa sakata la Kombo Mbwana
Crime & Justice Tanzania

IGP, RPC Tanga washtakiwa sakata la Kombo Mbwana

Asia GambaJuly 24, 2024August 7, 2024

Mawakili tisa wanaomwakilisha kada wa Chadema, Kombo Mbwana wamefungua kesi dhidi ya Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Camilius Wambura na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tanga, Almachius Mchunguzi, wakiomba mteja wao aachiliwe huru na alipwe fidia.

Mahakama Kuu Bangladesh yaondoa sheria tata iliozua maandamano
Asia Crime & Justice Politics

Mahakama Kuu Bangladesh yaondoa sheria tata iliozua maandamano

Kevin SeweJuly 22, 2024August 7, 2024

Mahakama kuu nchini ya Bangladesh siku ya Jumapili imeondoa sheria yenye utata kwenye mfumo wa utaoji ajira za serikali, ukiwa…

Kada wa Chadema aliyetoweka na kukutwa polisi apandishwa kizimbani kimya kimya na kusomewa mashtaka matatu
Crime & Justice Tanzania

Kada wa Chadema aliyetoweka na kukutwa polisi apandishwa kizimbani kimya kimya na kusomewa mashtaka matatu

Asia GambaJuly 17, 2024August 7, 2024

Kwa mujibu wa hati ya mashtaka ya kesi namba 19759/2024, Kombo ameshtakiwa kwa makosa matatu ambayo ni pamoja na kushindwa kutoa taarifa za kutosha za akaunti ya kadi yake ya simu, kinyume cha kifungu 126 cha Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy