Shule zafunguliwa nchini Kenya kwa Muhula wa Pili
Taarifa kutoka wizara ya elimu, imesema kuwa asilimia 95 ya shule ziko tayari kuanza tena muhula wa pili, huku hali katika baadhi ya taasisi za masomo katika kaunti saba zikiwa bado zinachunguzwa ili kuhakikisha unaafikia mazingira hitajika ya wanafunzi kutumia.