Serikali Ya Kenya Yasafisha Idara Ya Uhamiaji
Ni dhahiri wazi Waziri wa Usalama wa Kitaifa nchini Kenya Prof. Kithure Kindiki ana azima ya kuleta mabadiliko makubwa katika idara ya uhamiaji iliyopo jumba la Nyayo Jijini Niarobi
All the latest news and updates from Kenya
Ni dhahiri wazi Waziri wa Usalama wa Kitaifa nchini Kenya Prof. Kithure Kindiki ana azima ya kuleta mabadiliko makubwa katika idara ya uhamiaji iliyopo jumba la Nyayo Jijini Niarobi
Kenyans are already feeling the pinch from soaring prices for basic necessities, along with a sharp drop in the value of the local currency and the worst drought in four decades.
Rais wa kenya William Ruto amethibitisha msimamo wa Kenya wa kuwania kuandaa Kombe la Mataifa ya Afrika 2 (AFCON) 2027
zaidi ya watu 110 wamefukuliwa katika Msitu wa Shakahola, Pwani ya kenya na mwinjilisti huyo maafufu amehusishwa pakubwa na maafa hayo
Zaidi ya Watu 110 wameuawa shakahola,kilifi na mkewe Mackenzie Amehusishwa pakubwa na maafa hayo
One in ten women worldwide suffer from endometriosis, a chronic disease in which tissue similar to the lining of the uterus grows outside the womb
Rais William Ruto ameeleza ni kwa nini alikubali watu 50 aliowachagua kwa nyadhifa za mawaziri wasaidizi
Wabunge kutoka chama cha tawala cha UDA sasa wanataka muungano wa Azimio la Umoja kuwajibikia uharibifu ulioshuhudiwa wakati wa maandamano makubwa yaliyofanyika Jumatatu.
Wengine kama vile Kiongozi wa Wachache katika Bunge la Seneti Stewart Madzayo na mwenzake wa bunge Opiyo wandayi wamekamatwa na polisi.
Kulikuwa na hali ya mshike mshike katika afisi za DCI baada ya aliyekuwa waziri wa usalama Dkt Fred Matiangi Kudinda…