• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: East Africa

Media Wins In Censorship Case By Ex-CA Director General Chiloba
East Africa Politics

Media Wins In Censorship Case By Ex-CA Director General Chiloba

Joan WafulaOctober 24, 2023October 24, 2023

The High Court overturned a decision by the Communications Authority of Kenya (CA) that had censured six TV stations for…

Shilingi ya Kenya yashuka huku nchi ikikabiliwa na mfumuko wa bei
Africa East Africa

Shilingi ya Kenya yashuka huku nchi ikikabiliwa na mfumuko wa bei

Asia GambaOctober 23, 2023October 23, 2023

Shilingi imekuwa ikishuka kwa miaka kadhaa na kuporomoka kwa karibu asilimia 24 katika mwaka uliopita, chini ya shinikizo la viwango vya juu vya deni na kupungua kwa mapato ya serikali.

Tanzania signs controversial port deal with UAE’s DP World
Business / Finance East Africa Politics

Tanzania signs controversial port deal with UAE’s DP World

Mwanzo EditorOctober 23, 2023July 4, 2024

The new contracts give DP World exclusive management of four of the city docks’ 12 moorings and of four more in partnership with the Tanzania Port Authority.

Tanzania yaendelea na makubaliano ya mkataba wa bandari na kampuni ya DP World  licha ya ukosoaji
Africa East Africa

Tanzania yaendelea na makubaliano ya mkataba wa bandari na kampuni ya DP World  licha ya ukosoaji

Asia GambaOctober 23, 2023July 2, 2024

Kampuni kubwa ya usafirishaji ya Dubai DP World ilitia saini mikataba mitatu siku ya Jumapili na serikali ya Tanzania ya kuendesha sehemu ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 30 chini ya mkataba wenye utata unaohusu bandari zote za nchi.

Wanne wafariki nchini Kenya katika mkanyagano kutokana na hofu ya  ya gesi ya kutoa machozi
Africa East Africa

Wanne wafariki nchini Kenya katika mkanyagano kutokana na hofu ya  ya gesi ya kutoa machozi

Asia GambaOctober 20, 2023October 20, 2023

Wanawake wanne wamefariki dunia katika mkanyagano magharibi mwa Kenya leo Ijumaa baada ya umati wa watu kuogopa mlio uliotokana na kumwagika kwa chai ya muuzaji mmoja kwenye moto wakidhanini ni gesi ya kutoa machozi .

Matumizi ya kituo cha Kivukoni mwisho leo
Africa East Africa

Matumizi ya kituo cha Kivukoni mwisho leo

Asia GambaOctober 20, 2023October 20, 2023

Kituo cha daladala cha Kivukoni jijini Dar es Salaam kitafungwa kuanzia kesho Oktoba 21 kupisha upanuzi wa kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Kivukoni awamu ya kwanza.

TBS yapiga marufuku uagizaji wa mitungi ya mtumba ya gesi asili kwa ajili ya magari
Africa East Africa

TBS yapiga marufuku uagizaji wa mitungi ya mtumba ya gesi asili kwa ajili ya magari

Asia GambaOctober 19, 2023October 19, 2023

Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wauzaji na wasambazaji wa gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari, pamoja na vifaa vinavyohusika katika mfumo wa gesi hiyo, kuzingatia ubora wa viwango vinavyohitajika vya vifaa hivyo, ili kulinda afya na Maisha ya watumiaji wa bidhaa hiyo. 

UTAFITI: Waliowekewa betri ya moyo wana hatari kupata changamoto ya akili
Africa East Africa

UTAFITI: Waliowekewa betri ya moyo wana hatari kupata changamoto ya akili

Asia GambaOctober 18, 2023October 18, 2023

Utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ulihusisha wagonjwa sita ambao wamewekewa betri hiyo baada ya kufanyiwa vipimo vya mtambo mkubwa uitwao CathLab.

Uganda and DR Congo agree on visa-free travel
Africa East Africa Politics

Uganda and DR Congo agree on visa-free travel

Mwanzo EditorOctober 16, 2023October 16, 2023

Uganda and the Democratic Republic of Congo have agreed to mutually abolish visa requirements to allow visa-free travel between each country.

HRW yaishutumu Rwanda kuhusika na mauaji ya wakosoaji dhidi ya Serikali ya Kagame
Africa East Africa

HRW yaishutumu Rwanda kuhusika na mauaji ya wakosoaji dhidi ya Serikali ya Kagame

Asia GambaOctober 10, 2023October 10, 2023

Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeishutumu Rwanda kwa kutumia mbinu za ukandamizaji kuwalenga wakosoaji wake nje ya nchi, wakiwemo wale ambao wametafuta ulinzi wa kimataifa

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy