Media Wins In Censorship Case By Ex-CA Director General Chiloba
The High Court overturned a decision by the Communications Authority of Kenya (CA) that had censured six TV stations for…
The High Court overturned a decision by the Communications Authority of Kenya (CA) that had censured six TV stations for…
Shilingi imekuwa ikishuka kwa miaka kadhaa na kuporomoka kwa karibu asilimia 24 katika mwaka uliopita, chini ya shinikizo la viwango vya juu vya deni na kupungua kwa mapato ya serikali.
The new contracts give DP World exclusive management of four of the city docks’ 12 moorings and of four more in partnership with the Tanzania Port Authority.
Kampuni kubwa ya usafirishaji ya Dubai DP World ilitia saini mikataba mitatu siku ya Jumapili na serikali ya Tanzania ya kuendesha sehemu ya bandari ya Dar es Salaam kwa miaka 30 chini ya mkataba wenye utata unaohusu bandari zote za nchi.
Wanawake wanne wamefariki dunia katika mkanyagano magharibi mwa Kenya leo Ijumaa baada ya umati wa watu kuogopa mlio uliotokana na kumwagika kwa chai ya muuzaji mmoja kwenye moto wakidhanini ni gesi ya kutoa machozi .
Kituo cha daladala cha Kivukoni jijini Dar es Salaam kitafungwa kuanzia kesho Oktoba 21 kupisha upanuzi wa kituo cha mabasi yaendayo haraka cha Kivukoni awamu ya kwanza.
Shirika la Viwango Tanzania (TBS), limewataka wauzaji na wasambazaji wa gesi asilia kwa ajili ya matumizi ya magari, pamoja na vifaa vinavyohusika katika mfumo wa gesi hiyo, kuzingatia ubora wa viwango vinavyohitajika vya vifaa hivyo, ili kulinda afya na Maisha ya watumiaji wa bidhaa hiyo.
Utafiti huo uliofanywa na Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ulihusisha wagonjwa sita ambao wamewekewa betri hiyo baada ya kufanyiwa vipimo vya mtambo mkubwa uitwao CathLab.
Uganda and the Democratic Republic of Congo have agreed to mutually abolish visa requirements to allow visa-free travel between each country.
Shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch (HRW) limeishutumu Rwanda kwa kutumia mbinu za ukandamizaji kuwalenga wakosoaji wake nje ya nchi, wakiwemo wale ambao wametafuta ulinzi wa kimataifa