Kiongozi wa upinzani nchini Uganda Bobi Wine anasema yuko chini ya kizuizi cha nyumbani
Polisi walikanusha kuwa Wine alikamatwa, wakisema “walimsindikiza” kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe hadi nyumbani kwake
Polisi walikanusha kuwa Wine alikamatwa, wakisema “walimsindikiza” kutoka Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe hadi nyumbani kwake
Fred Leparan, who worked at Nairobi’s Mama Lucy Kibaki hospital, was filmed accepting $2,500 (£2,000) to sell a baby boy under the hospital’s care.
Chama cha Demokrasia na Mendeleo CHADEMA, kimesema kimepokea barua ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania ikiwataka wajieleze kuhusu kutengeneza maudhui yanayotajwa kuwa yanamdhalilisha Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais Samia Suluhu Hassani.
In 2021, Netflix has allowed users in the East African country to access a limited selection of content without paying for a subscription. This was an attempt to tap into Kenya’s growing streaming market.
Kwa bei zilizotangazwa kuanza kutumika leo, gharama ya lita moja kwa mafuta yaliyopakuliwa Dar es Salaam ni shilingi 3,281/lita ya petroli, shilingi 3,448/lita ya Dizeli na shilingi 2,943/lita ya mafuta ya taa. Kwa mafuta yaliyopakuliwa Tanga, bei ya lita ya petroli ni shilingi 3,327/lita, bei ya dizeli ni shilingi 3,494/lita na mafuta ya taa ni shilingi 2,989 kwa lita.
Serikali ya Tanzania imetumia shilingi bilioni 1.23 kwa ajili ya kulipa fidia wananchi 804 waliosaini mikataba ya fidia na kulipwa ili kupisha mradi wa Bomba la Mafuta ghafi wa Afrika Mashariki kwa Mkoa wa Dodoma.
The United Nations Security Council has endorsed Kenya’s proposal to lead Multinational Security mission in Haiti, in response to the Caribbean nation’s prime minister’s request for help to restore order.
The retail prices of maize flour have recorded a drop in prices in the last year since September 2022, a new report by the Kenya National Bureau of Statistics (KNBS) has said.
The Head of State instead announced that his administration is only planning to expand the port in a bid to increase its operations as well as provide employment to the local youth.
The East Africa’s Pamoja Bid by Kenya, Uganda and Tanzania on Wednesday won the rights to host the 36th edition…