Uganda will develop with or without loans, Museveni says
Museveni revealed that an official from World Bank called him on Monday night informing him about the statement from that Bank regarding the suspension of any new loan requests from Uganda.
Museveni revealed that an official from World Bank called him on Monday night informing him about the statement from that Bank regarding the suspension of any new loan requests from Uganda.
Uamuzi huo umesomwa na jopo la majaji watatu likiongozwa na Jaji Dunstan Ndunguru, akishirikiana na majaji Mustafa Ismail na Abdi Kagomba.
Huduma hiyo mpya imeanza kutolewa hivi karibuni na Wataalam wa Radiolojia tiba wakiongozwa na daktari bingwa na mbobezi wa radiolojia tiba Dkt. Latifa Rajab kutoka Taasisi ya Saratani Ocean Road baada ya daktari huyo kurejea kutoka masomoni.
Maofisa hao wamepanda kizimbani leo Agosti 9 kusikiliza shauri la kesi hiyo wakidaiwa kutenda mauaji ya Mfanyabiashara wa madini, Mussa Hamis (25) mkazi wa Nachingwea mkoani Mtwara.
Tanzania imetia saini mkopo wenye masharti nafuu wa shilngi bilioni 69.9 (dola milioni 30) na Mfuko wa Maendeleo wa Adu Dhabi kwa ajili ya ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme kutoka Benaco hadi Kyaka mkoani Kagera.
Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu(LHRC), kwa kushirikiana na Chama cha Watu wenye Ualbino Tanzania (TAS), kimelaani vikali kitendo kilichotokea Agosti 6, 2023 katika siku ya Simba Day, kinachohusisha matumizi ya mtu mwenye ualbino kwa mtindo unaofanana na mtu aliyevaa nepi iliyochafuka jukwaani mbele ya umati wa maelfu ya watu kwenye Uwanja wa Taifa akiwa nusu uchi.
Jaji Maghimbi alisema ameshangazwa na mwenendo wa FCC ambayo imepewa jukumu la kusimamia ushindani katika uchumi kwa manufaa ya mlaji, kupora mamlaka ya Mahakama katika uhakiki kwa kuendelea kubaini ni nini [Mahakama. ] tayari ilikuwa imepiga maruf
“Uganda’s Anti-Homosexuality Act fundamentally contradicts the World Bank Group’s values,” the development lender said in a statement Tuesday, adding that “no new public financing,” would be presented to the bank’s board of directors for approval for the time being.
Joseph’s resignation from the telco was announced Tuesday evening by the Safaricom Board which indicated that he had stepped down to focus on “other ventures” including his current role as Chairman of Kenya Airways.
The summit, focusing on transforming the African coffee sector through value addition, aims to address challenges in the coffee value chain and promote sustainable production, research, market access, and consumption through intra-regional trade.