Waasi wa M23 wauteka mji wa Goma
Waasi wa kundi la M23 wameingia kwenye kitovu cha mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, masaa kadhaa baada ya kutangaza kutwaa udhibiti wa mji huo muhimu.
Waasi wa kundi la M23 wameingia kwenye kitovu cha mji mkuu wa jimbo la Kivu Kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Goma, masaa kadhaa baada ya kutangaza kutwaa udhibiti wa mji huo muhimu.
Karibu wanawake 200 wa Kenya waliuawa katika visa vya ukatili wa kijinsia mwaka 2024, ikiwa ni mara mbili ya idadi ya mwaka uliopita, kulingana na taarifa kutoka kwa vikundi vinavyofuatilia hali hiyo.
The border between Rwanda and DR Congo near the besieged city of Goma was closed on Monday, a European consulate source and witnesses said, hours after militia fighters and Rwandan troops entered the eastern Congolese regional capital.
Chadema Secretary General John Mnyika had schedule to address the nation through a press conference at 11 PM
Mpaka sasa hakuna taarifa rasmi kutoka kwa Jeshi la Polisi au Chadema kuhusu nini chanzo cha uwepo wa askari hao ambao wamezuia waandishi wa habari waliofika kwa ajili ya mkutano uliopaswa kufanyika saa tano asubuhi kamili.
Grace Njoki Mulei, who captured national attention for leading a protest at Afya House, has been released on a Sh10,000…
The east African nation on Monday confirmed the second outbreak of the deadly virus in its history, following a 2023 outbreak that killed six people, but has not commented on any recent fatality figures.
Mbowe became the Chadema Chairman in 2004, taking over from Bob Makani. During his time, he helped Chadema grow from a small party into Tanzania’s main opposition force
John Wagesa Heche is the new vice-chairman of the CHADEMA party He was elected on 22 January 2025 after defeating…
Heche amesema malengo makuu ya yake na chama ni kushinda uchaguzi wa 2025 kwa kuondoa CCM (Chama cha Mapinduzi) madarakani, na kutumia rasilimali za Tanzania kunufaisha Maisha ya wananchi.