• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Tanzania

All news and updates from Tanzania

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi
Crime & Justice Tanzania

Sarakasi kuelekea uchaguzi wa TLS na kuondolewa kwa Mwabukusi

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Uchaguzi wa rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), umekuwa na sarakasi zilizoibua wadau wa sheria nchini kufuatia kuondolewa kwa jina la miongoni mwa wagombea wa nafasi hiyo Wakili Boniface Mwabukusi jambo linalodaiwa kuwa kuna mchezo mchafu unaendelea ndani ya TLS unaoongozwa na Kamati ya Uchaguzi huo.

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo
Crime & Justice Tanzania

Kesi ya Kabendera dhidi ya Vodacom anayoituhumu kuhusu kutekwa kwake kusikilizwa leo

Asia GambaJuly 9, 2024July 9, 2024

Katika kesi hiyo Kabendera anaoimba mahakama hiyo iiamuru kampuni hiyo imlipe fidia ya Dola za Marekani 10 milioni ambazo ni sawa na shilingi bilioni 28, akiituhumu kuwa ndio iliyofanikishwa kukamatwa kwake na askari Polisi, tukio analoliita kutekwa,  na kisha kufunguliwa kesi ya uhujumu uchumi, mwaka 2019.

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.
Crime & Justice Tanzania

Alieychoma picha ya Rais Samia atoka gerezani.

Asia GambaJuly 8, 2024

Kijana Shadrack Chaula amelipa fedha hizo baada ya kuchangwa na wanaharakati na wananchi kutoka maeneo mbalimbali nchini.

Samia amtaka Waziri kumpatia ripoti ya Kariakoo kila baada ya miezi mitatu
Tanzania

Samia amtaka Waziri kumpatia ripoti ya Kariakoo kila baada ya miezi mitatu

Asia GambaJuly 5, 2024

Rais  Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kwenda ‘kushinda’ Kariakoo badala ya kukaa ofisini ili kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wa eneo hilo pamoja na nchi nzima kisha kumpatia ripoti kila baada ya miezi mitatu. 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua kamati ya kitaifa ya AFCON 2027
Football Tanzania

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa azindua kamati ya kitaifa ya AFCON 2027

Asia GambaJuly 5, 2024

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 05, 2024 amezindua Kamati ya Kitaifa ya Maandalizi ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON 2027) na kuahidi kuwa Serikali itafanya nayo kazi kwa karibu ili iweze kufanikisha malengo ya Tanzania kufanya vizuri kwenye michuano hiyo.

Waziri wa mambo ya ndani Tanzania ashangazwa na watu kuhusisha siasa na utekaji unaoendelea nchini humo.
Tanzania

Waziri wa mambo ya ndani Tanzania ashangazwa na watu kuhusisha siasa na utekaji unaoendelea nchini humo.

Asia GambaJuly 3, 2024July 3, 2024

Waziri Masauni ametoa kauli hiyo leo katika uzinduzi wa kitabu cha Shekhe Mkuu wa Tanzania, Mufti Abubakar Zuberi huku akishangazwa na namna ambavyo siasa imekuwa ikitumika katika matukio hayo kwa kuyahusisha na vyombo vya dola ambavyo jukumu lake ni kulinda Raia na mali zao.

Jaji Mkuu aonya vitendo vya utovu wa maadili kwa mawakili
Crime & Justice East Africa Tanzania

Jaji Mkuu aonya vitendo vya utovu wa maadili kwa mawakili

Asia GambaJuly 3, 2024July 3, 2024

Prof. Juma ametoa wito huo leo tarehe 3 Julai, 2024 baada ya kuwakubali na kuwapokea Mawakili wa Kujitegemea 555 kwenye hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Mgomo wa Wafanyabiashara Tanzania ngoma bado nzito
Business / Finance East Africa Tanzania

Mgomo wa Wafanyabiashara Tanzania ngoma bado nzito

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wafanyabiashara wanaitaka Serikali kupunguza kodi, kuwawekea mazingira mazuri ya biashara lakini pia kuwekwa kwa mifumo mizuri ya ukusanyaji kodi tofauti na inavyofanywa hivi sasa.

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo
Business / Finance East Africa Tanzania

Bajeti ya Tanzania kupigiwa kura leo

Asia GambaJune 26, 2024August 5, 2024

Wabunge wanapata fursa ya kupiga kura baada ya siku saba za majadiliano tangu bajeti hiyo ilipowasilishwa bungeni jijini Dodoma Juni 13 mwaka huu, ikiwa ni bajeti ya nne.

Ummy: Acheni matumizi holela ya dawa kuepuka usugu wa vimelea dhidi ya dawa
East Africa Lifestyle & Health Tanzania

Ummy: Acheni matumizi holela ya dawa kuepuka usugu wa vimelea dhidi ya dawa

Asia GambaJune 21, 2024July 3, 2024

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu amewataka Watanzania kuacha matumizi holela holela ya Dawa ili kuepuka usugu wa vimelea dhidi ya dawa hususani za antibaotik kushindwa kufanya kazi ipasavyo na kugharimu maisha na nguvu kazi ya Taifa.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo