Chadema: No Amount of Threats, Intimidations Will Stop us!
Tanzania’s main opposition party Chadema has strongly condemned the government for brutalizing, torturing, and imprisoning their National Leaders. Chadema Leaders,…
All news and updates from Tanzania
Tanzania’s main opposition party Chadema has strongly condemned the government for brutalizing, torturing, and imprisoning their National Leaders. Chadema Leaders,…
Chadema’s Deputy Secretary General Benson Kigaila has now revealed that several leaders from the party who were arrested by the…
Kwa mujibu wa Naibu Katibu Mkuu Bara kutoka chama cha Chadema bwana Benson Kigaila ni kwamba katika kundi kubwa la watu takribani 500 waliokamatwa na Polisi kati ya siku hizo mbili, wakiwemo viongozi wakuu wa chama hicho ni kwamba Makamu Mwenyekiti Bara, Tundu Lissu, Katibu Mkuu John Mnyika na Mwenyekiti Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi maarufu Sugu wameumizwa vibaya kutokana na nguvu iliyotumika kuwakamata.
Tanzania Police force has confirmed that some of those leaders arrested were interrogated and returned to the regions where they…
Katika taarifa ya Chadema iliyotolewa na John Mrema, Mkurugenzi wa Mawasiliano, Itikadi, Uenezi na Mambo ya Nje kupitia ukurasa wake wa X zamani Twitter, imeeleza viongozi hao walirudishwa kutoka jijini Mbeya walikokamatiwa na kurejeshwa Dar es salaam usiku chini ya ulinzi wa Polisi.
On 11 August, Tanzanian police arrested and detained leading figures from Tanzania’s Party Chadema, including former presidential candidate Tundu Lissu and party’s Chairman Freeman Mbowe among other leaders.
Kanusho hilo kutoka Makao Makuu ya Polisi limekuja kufuatia taarifa ya Polisi Mbagala iliyoandikwa kwenda kwa chama cha ACT Wazalendo kuzuia mkutano wa hadhara wa vijana wa chama hicho waliopanga kufanya leo Agosti 12,2024.
Naibu Katibu Mkuu Bara Benson Kigaila amewaeleza wanahabari kwamba viongozi hao wote wako chini ya mikono ya Polisi lakini Polisi hawataki kuwaonyesha wapi walipo hali inayowapa hofu juu ya usalama wao.
Chama cha ACT Wazalendo kimelaani na kukemea vikali vitisho vya Jeshi la Polisi na kukamatwa kwa viongozi wakuu wa CHADEMA na kuzuiwa kwa kongamano la vijana wa CHADEMA katika kuadhimisha siku ya vijana duniani iliyopangwa kufanyika leo Agosti 12, jijini Mbeya.
In the planned Political rally by the Alliance for Change and Transparency, the Police Force has banned the ACT Wazalendo…