DRC: Askari aliyeshikiliwa kwa uwindaji haramu na kumteka mtoto wa tumbili aachiliwa
Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake
Afisa wa polisi kutoka mashariki mwa DR Congo amezuiliwa kwa madai ya uwindaji haramu baada ya wenyeji kusikia kilio cha mtoto wa tumbili kutoka kwenye begi lake
Tourism income from Brar’s company supports the local community in many ways, helping to provide water for people and livestock and generating jobs. All of the rangers and almost all of Selenkay’s staff are Maasai.
Watu sita walikufa baada ya mvua kubwa kusababisha mporomoko ya ardhi katika mji mkuu wa Ivory Coast Abidjan
Jamii ya wamasai imeishi katika hifadhi hiyo, eneo la Urithi wa Dunia wa UNESCO kaskazini mwa Tanzania, kwa zaidi ya karne moja.
The indigenous Maasai community lives in Ngorongoro reserve in northern Tanzania but face eviction as officials say their growing population is a threat to wildlife in the area.
The conference will set the stage for a fresh round of major United Nations talks later this year in Egypt.
Mvua kubwa iliyonyesha mwishoni mwa mwezi Aprili iliua watu 435 katika mafuriko na maporomoko ya ardhi.
Zimbabwe inashikilia nafasi ya pili kwa idadi kubwa ya tembo duniani ikiwa na tembo 100,000
Miongo kadhaa ya kilimo kisicho endelevu kimedhoofisha udongo duniani kote na kuharakisha ongezeko la joto duniani na upotevu wa viumbe, UNCCD inasema, huku takriban asilimia 40 ya ardhi ikiharibika kote duniani.
The floor of the bridge is made from French-produced tempered glass, making it strong enough to support up to 450 people at a time