Kenya kujenga makazi salama nchini Saudi Arabia kuwahifadhi raia wake waliodhulumiwa
KSh70 milioni zimetengwa kujenga makazi salama nchini Saudi Arabia ambako wafanyakazi kutoka kenya wamepitia mateso ya kiakili na kimwili na ukiukaji wa haki zao.
KSh70 milioni zimetengwa kujenga makazi salama nchini Saudi Arabia ambako wafanyakazi kutoka kenya wamepitia mateso ya kiakili na kimwili na ukiukaji wa haki zao.
Mahakama ya Misri ilimhukumu kifo mwanamume mmoja kwa mauaji ya mwanafunzi ambaye alikataa ombi la kuwa katika uhusiano nae,
Ghna inakabiliwa na mdororo wa kiuchumi uliochochewa na janga la corona na athari za vita vya Urusi nchini Ukraine, limeshuhudia mfumuko wa bei ukiongezeka hadi zaidi ya asilimia 27
Afrika Kusini iliweka mgao mgumu zaidi wa umeme katika kipindi cha miaka miwili na nusu baada ya mizozo ya wafanyakazi kutatiza uzalishaji katika mitambo kadhaa.
Jimbo la Zamfara kaskazini mwa Nigeria litaruhusu watu kubeba bunduki ili kujilinda dhidi ya majambazi wenye silaha baada ya mamlaka kushindwa kuzuia ongezeko la utekaji nyara na mauaji.
Makubaliano kati ya Kenya na Uingereza kuhusu kuajiri wafanyikazi wa Afya yalitiwa saini na Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mnamo Januari 2021.
Takriban wahamiaji 46 walipatikana wamekufa Jumatatu ndani na karibu ya lori kubwa la trela ambalo lilitelekezwa kando ya barabara nje kidogo ya jiji la Texas la San Antonio.
Barre, mbunge kutoka jimbo linalojitawala la Jubaland alichaguliwa mapema mwezi huu na Rais Hassan Sheikh Mohamud
Mahakama ya Senegal Jumanne ilimkabidhi mbunge wa upinzani kifungo cha miezi sita jela kwa kukaidi marufuku iliyowekwa kwa maandamano wakati wa maandalizi ya uchaguzi wa wabunge
Watayarishi na wasanii nchini Kenya sasa wana fursa ya kuendeleza taaluma zao baada ya YouTube kufungua Hazina ya Black Voices Fund (BVF) kwa mwaka wa 2023.