• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Watoto wanaokufa wanaakisi hali mbaya ya ukame nchini Somalia
Africa Features Lifestyle & Health

Watoto wanaokufa wanaakisi hali mbaya ya ukame nchini Somalia

Maureen MedzaJune 9, 2022June 9, 2022

Mvua ilipokosa kunyesha kwa msimu wa nne mfululizo mwezi uliopita, mashirika ya misaada ya UN walionya kuwa njaa huenda ikakumba nchi za Somalia, Kenya na Ethiopia

Kenya: “Hatutafunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi” Waziri wa Usalama wa Ndani
East Africa Features Politics

Kenya: “Hatutafunga mitandao ya kijamii wakati wa uchaguzi” Waziri wa Usalama wa Ndani

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Waziri wa Usalama wa Ndani Fred Matiang’i alisisitiza msimamo huo alipokuwa akizungumza wakati wa uzinduzi wa warsha ya mikakati ya Kitaifa ya usalama wa mtandao 2022-2026.

Nigeria: Wajumbe wa chama tawala wapiga kura kumchagua mgombeaji wa uchaguzi wa urais wa 2023
Africa Features People Politics

Nigeria: Wajumbe wa chama tawala wapiga kura kumchagua mgombeaji wa uchaguzi wa urais wa 2023

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Zaidi ya wajumbe 2,300 wa APC walipiga kura kumchagua mgombea atakayekabiliana na Atiku Abubakar wa chama cha upinzani cha Peoples Democratic Party (PDP) katika kura ya urais ya Februari 25 2023

Upinzani Uganda umekashifu ununuzi wa limos kwa maafisa wa serikali huku mfumuko wa bei ukiendelea kuongezeka
East Africa Features Politics

Upinzani Uganda umekashifu ununuzi wa limos kwa maafisa wa serikali huku mfumuko wa bei ukiendelea kuongezeka

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Ununuzi wa shilingi bilioni 2.4 (dola 640,000) wa gari mbili za limousine kwa spika wa bunge na naibu wake umechochea hasira ya umma

Mfalme wa Ubelgiji awasili DR Congo kwa ziara
Africa East Africa Features People Politics

Mfalme wa Ubelgiji awasili DR Congo kwa ziara

Maureen MedzaJune 8, 2022June 8, 2022

Mfalme huyo atafanya ziara ya siku sita inadaiwa kuwa nafasi ya maridhiano baada ya ukatili uliofanywa chini ya utawala wa kikoloni wa Ubelgiji.

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9
Features People Politics

Wagombea wanne wanaowania urais katika uchaguzi wa Kenya Agosti 9

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Wagombea wanne wameidhinishwa kushiriki kinyang’anyiro cha kuwa rais wa Kenya, akiwemo naibu wa rais wa sasa William Ruto na Raila Odinga.

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume
Asia Features Middle East People Politics

Indonesia yamwita mjumbe wa India kwa mkutano kuhusu matamshi ‘ya dharau’ dhidi ya Mtume

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Indonesia imemuita mjumbe wa India mjini Jakarta kuhusu matamshi ‘ya dharau’ yaliyotolewa kuhusu Mtume Muhammad na maafisa wawili wa chama tawala cha India

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais
East Africa Features People Politics

Kenya: Raila Odinga azindua manifesto yake anapowania kiti cha rais

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Mgombea urais wa muungano wa Azimio Raila Odinga Jumatatu alizundua manifesto yake yenye ahadi 10, akiahidi kuinua uchumi ndani ya siku 100 za uongpzi wake kama Rais wa Kenya.

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo
Africa East Africa Features Politics

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya DR Congo

Maureen MedzaJune 7, 2022June 7, 2022

Takriban watu 20 wameuawa katika mauaji mapya katika jimbo la Ituri mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo

Mwendesha mashtaka wa Chad ataka viongozi wa upinzani wafungwe kifungo cha miaka 2 jela
Africa Features People Politics

Mwendesha mashtaka wa Chad ataka viongozi wa upinzani wafungwe kifungo cha miaka 2 jela

Maureen MedzaJune 6, 2022June 6, 2022

Maandamano yaliyoidhinishwa mnamo dhidi ya uwepo wa jeshi la Ufaransa nchini Chad yaligeuka kuwa ya vurugu. Vituo vya mafuta vya kampuni ya Ufaransa ya Total vilishambuliwa

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policy