• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: Features

Afrika Kusini: Simba ‘waliohangaisha’ raia wauliwa
Africa Features Nature

Afrika Kusini: Simba ‘waliohangaisha’ raia wauliwa

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Simba sita waliuliwa baada ya kutoroka kutoka kwa mbuga ya wanyama ya Afrika Kusini na kuwatia hofu watu wanaoishi karibu,

Tanzania yataja ugonjwa wa ajabu kuwa ni ‘homa ya panya’
East Africa Features Lifestyle & Health

Tanzania yataja ugonjwa wa ajabu kuwa ni ‘homa ya panya’

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye alitembelea eneo hilo alisema ugonjwa huo unasababishwa na bakteria ambao huenea kupitia maji au chakula kilichochafuliwa na mkojo wa wanyama.

Kenya: Faith Kipyegon aipa Kenya dhahabu yake ya kwanza katika mbio za 1500m
East Africa Features Sports

Kenya: Faith Kipyegon aipa Kenya dhahabu yake ya kwanza katika mbio za 1500m

Maureen MedzaJuly 19, 2022July 19, 2022

Bingwa mara mbili wa mbio za Olimpiki Faith Kipyegon aliipa Kenya medali yake ya kwanza ya dhahabu katika mbio za mita 1,500 kwa wanawake katika Riadha za Dunia zinazoendelea huko Oregon.

Karibu nusu ya eneo la EU liko katika hatari ya ukame
Environment Europe Features

Karibu nusu ya eneo la EU liko katika hatari ya ukame

Maureen MedzaJuly 18, 2022July 18, 2022

Kituo cha Utafiti cha Pamoja cha Tume ya Ulaya kilisema kuwa asilimia 46 ya eneo la Umoja wa Ulaya limekabiliwa na ukame wa kiwango cha juu, huku asilimia 11 ikiwa katika kiwango cha tahadhari

Kenya: Sonko awasilisha kesi katika mahakama ya EAC kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu
Features People Politics

Kenya: Sonko awasilisha kesi katika mahakama ya EAC kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu

Maureen MedzaJuly 18, 2022July 18, 2022

Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha rufaa katika Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu zaidi

Nigeria: Ghadhabu ya raia baada ya kiongozi wa genge kuteuliwa kuwa chifu
Africa Features People Politics

Nigeria: Ghadhabu ya raia baada ya kiongozi wa genge kuteuliwa kuwa chifu

Maureen MedzaJuly 18, 2022July 18, 2022

Adamu Aliero Yankuzo, anayeshukiwa kuwa kiongozi wa genge, aliteuliwa kuwa chifu wa jamii ya Fulani (Sarkin Fulani) katika eneo la Yandoton Daji

Ghana imeripoti visa vya kwanza vya virusi hatari vya Marburg
Africa Features Lifestyle & Health

Ghana imeripoti visa vya kwanza vya virusi hatari vya Marburg

Maureen MedzaJuly 18, 2022July 18, 2022

Hakuna matibabu au chanjo iliyopo kwa Marburg ,ugonjwa ambao ni hatari kama Ebola.

Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu
Asia Features People Politics

Rais wa Sri Lanka, Gotabaya Rajapaksa ajiuzulu

Maureen MedzaJuly 15, 2022July 15, 2022

Alituma barua pepe ya kujiuzulu kwake kutoka Singapore baada ya kusafiri kwa ndege kuenda Singapore kutoka Maldives

Omanyala apata visa dakika za mwisho ili kushiriki mbio za World Athletics Championships
East Africa Features Sports

Omanyala apata visa dakika za mwisho ili kushiriki mbio za World Athletics Championships

Maureen MedzaJuly 14, 2022July 14, 2022

Omanyala — mwanamume wa tatu mwenye kasi zaidi duniani msimu huu atapumzika kwa saa chache tu kabla kushiriki katika mbio za mita 100 zinazoanza Ijumaa huko Eugene, Oregon.

Sudan: Mwanamke, 20, kupigwa mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi
Africa Features Gender

Sudan: Mwanamke, 20, kupigwa mawe hadi kufa kwa kosa la uzinzi

Maureen MedzaJuly 14, 2022July 14, 2022

Mara ya mwisho kwa mwanamke kuhukumiwa kifo kwa kupigwa mawe kwa kosa la uzinzi nchini Sudan ilikuwa mwaka wa 2013

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo