Afrika Kusini: Simba ‘waliohangaisha’ raia wauliwa
Simba sita waliuliwa baada ya kutoroka kutoka kwa mbuga ya wanyama ya Afrika Kusini na kuwatia hofu watu wanaoishi karibu,
Simba sita waliuliwa baada ya kutoroka kutoka kwa mbuga ya wanyama ya Afrika Kusini na kuwatia hofu watu wanaoishi karibu,
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye alitembelea eneo hilo alisema ugonjwa huo unasababishwa na bakteria ambao huenea kupitia maji au chakula kilichochafuliwa na mkojo wa wanyama.
Bingwa mara mbili wa mbio za Olimpiki Faith Kipyegon aliipa Kenya medali yake ya kwanza ya dhahabu katika mbio za mita 1,500 kwa wanawake katika Riadha za Dunia zinazoendelea huko Oregon.
Kituo cha Utafiti cha Pamoja cha Tume ya Ulaya kilisema kuwa asilimia 46 ya eneo la Umoja wa Ulaya limekabiliwa na ukame wa kiwango cha juu, huku asilimia 11 ikiwa katika kiwango cha tahadhari
Aliyekuwa gavana wa Nairobi Mike Sonko amewasilisha rufaa katika Mahakama ya Afrika Mashariki kupinga uamuzi wa Mahakama ya Juu zaidi
Adamu Aliero Yankuzo, anayeshukiwa kuwa kiongozi wa genge, aliteuliwa kuwa chifu wa jamii ya Fulani (Sarkin Fulani) katika eneo la Yandoton Daji
Hakuna matibabu au chanjo iliyopo kwa Marburg ,ugonjwa ambao ni hatari kama Ebola.
Alituma barua pepe ya kujiuzulu kwake kutoka Singapore baada ya kusafiri kwa ndege kuenda Singapore kutoka Maldives
Omanyala — mwanamume wa tatu mwenye kasi zaidi duniani msimu huu atapumzika kwa saa chache tu kabla kushiriki katika mbio za mita 100 zinazoanza Ijumaa huko Eugene, Oregon.
Mara ya mwisho kwa mwanamke kuhukumiwa kifo kwa kupigwa mawe kwa kosa la uzinzi nchini Sudan ilikuwa mwaka wa 2013