Category: Gender
Mwanamume aliyefungwa jela kimakosa kwa miaka 42 afanyiwa mchango wa kiasi cha $1.6M kuanza maisha upya
Strickland aliwaambia polisi kuwa alikuwa nyumbani akitazama televisheni. Hakuna ushahidi wowote uliowahi kumhusisha na uhalifu huo.
Wanaharakati wanataka tamasha la Koffi Olomide mjini Kigali Rwanda lipigwe marufuku.
Mnamo 2019, Koffi alihukumiwa kifungo cha miaka miwili jela na mahakama nchini Ufaransa baada ya kupatikana na hatia ya ubakaji
Tanzania: Wanafunzi waliopata ujauzito ruksa kurudi shule
Kwa mujibu wa Waziri Ndalichako wanafunzi watakaotaka kurejea shule wataruhusiwa kufanya hivyo ndani ya miaka miwili baada ya kuwa nje ya mfumo rasmi
Pakistan yapitisha adhabu ya kuwahasi wabakaji kwa kutumia kemikali
Kuhasiwa kwa kemikali, hufanywa nchini Poland, Korea Kusini, Jamhuri ya Czech na baadhi ya majimbo ya Amerika.
Kenyan family to sue British army over the death of their kin
Lawyers of the family of the deceased say the household is demanding for answers over the death of their loved one.
Je, wakati umefika kwa mwanawake kuolewa na zaidi ya mume mmoja?
Kwa kawaida katika mataifa mengi duniani, ndoa zilizozoeleka ni ndoa kati ya mume mmoja ma mke mmoja. Katika tamaduni ya…
Maajabu msichana wa miaka 5 ajifungua mtoto wa kiume
Kisa kama cha Lina kinafahamika kama ‘precocious puberty’ ikimaanisha kuwa mtoto huanza kubalehe mapema kabla umri wa kawaida wa miaka 8 kwa wasichana na miaka 9 kwa wavulana.
Afisa wa polisi awaua jamaa zake watano na mpenzi wake ili afaidike na pesa za bima
Rosemary aliwasajili jamaa zake kwa mipango ya bima ya maisha na mazishi,nakupanga mauaji ya binamu yake, dadake, mpenziwe, mpwa wake na jamaa
Oktoba 20, kumbukizi ya mauaji ya Rais wa zamani wa Libya Muammar Gaddafi
Chini ya uongozi wa Muammar Gaddafi taifa la Libya lilishuhudia maendeleo katika nyanja tofauti ikiwemo elimu, afya, muundo msingi na makazi.