Mahakama ya Pakistan yamhukumu kifo mwanamke kwa kukufuru
Mwanamke huyo alipatikana na hatia ya kukufuru kwa kumtusi Mtume Muhammad katika jumbe alizotuma kupitia WhatsApp
Mwanamke huyo alipatikana na hatia ya kukufuru kwa kumtusi Mtume Muhammad katika jumbe alizotuma kupitia WhatsApp
Kakwenza Rukirabashaija is accused of posting critical comments on social media about President Yoweri Museveni and his powerful son Muhoozi Kainerugaba.
Wanandoa wawili waliooana nje ya Namibia walikuwa wameomba Mahakama Kuu kutambua ndoa zao.
Salima alikuwa afisa wa nne wakati Guinea ilipoishinda Malawi mnamo Januari 10 mjini Bafoussam.
Research shows Pfizer and Moderna jabs did not cause pregnancy complications.
President Julius Bio says the country will move to a system of proportional voting.
Lee, mwanasheria wa haki za binadamu aliyegeuka kuwa mwanasiasa, alisema watu wenye matatizo ya kupoteza nywele wamebaguliwa kwa muda mrefu.
Baadhi ya wakosoaji wanamtuhumu kwa kukiuka maadili ya kihafidhina ya jamii ya Kiislamu huku wengine wakisimama kidete naye.
Unyanyasaji wa kijinsia umeenea sana Morocco lakini wanawake wanasitasita kuripoti kwa kuhofia kulipizwa kisasi au kudhuru sifa ya familia zao.
“Ninajivunia kwamba sarafu hizi zinasherehekea michango ya baadhi ya wanawake waanzilishi wa Amerika, Janet Yellen.