Congress yathibitisha ushindi wa Donald Trump
Makamu wa Rais wa Marekani na aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Demcratic, Kamala Harris, ameongoza shughuli ya bunge la nchi hiyo kuidhinisha ushindi wa hasimu wake, Donald Trump, kuwa rais mpya.
News from US, Canada and Mexico
Makamu wa Rais wa Marekani na aliyekuwa mgombea urais kwa tiketi ya Demcratic, Kamala Harris, ameongoza shughuli ya bunge la nchi hiyo kuidhinisha ushindi wa hasimu wake, Donald Trump, kuwa rais mpya.
Biden mwenye umri wa miaka 81 alijitoa kwenye kinyang’anyiro dhidi ya Trump mnamo Julai na kumkabidhi uteuzi wa chama cha Democratic kwa makamu rais Kamala Harris, lakini sasa anatarajiwa kuona urithi wake ukibomolewa na urejesho wa kushangaza wa Trump.
An emotional Vice President Harris told tearful supporters in a speech in Washington to “not despair,” urging them to “keep fighting” after her loss.
World leaders raced to congratulate Donald Trump on Wednesday as he triumphed in a stunning US election victory over Kamala Harris.
Mitandao ya habari ya Marekani imetangaza kwamba Trump alishinda majimbo muhimu ya Pennsylvania, Georgia, na North Carolina, na anaongoza dhidi ya Makamu wa Rais wa Democratic, Kamala Harris, katika majimbo mengine ingawa hayajatangazwa rasmi bado
As polling stations open nationwide on Election Day, Democratic vice president Harris, 60, and Republican former president Trump, 78, are dead-even in the tightest and most volatile White House race of modern times.
Popular and Celebrated Television legend Oprah Winfrey unexpectedly appeared at the Democratic National Convention in her native Chicago state, where…
US Vice President Kamala Harris effectively secured the Democratic party’s presidential nomination Friday, confirming her remarkable rise to party…
Top US diplomat Antony Blinken said Thursday there was “overwhelming evidence” that opposition candidate Edmundo Gonzalez Urrutia won Venezuela’s contested…
Her choice of a running mate will be a big part of her campaign and its success.