Biden: Covid pandemic in US ‘is over’
US President Joe Biden has declared the pandemic over in the United States.
US President Joe Biden has declared the pandemic over in the United States.
Children above five years to produce a proof of vaccination QR code.
The Democratic Republic of Congo has confirmed a new case of Ebola in the eastern province of North Kivu.
Zaidi ya visa 3,800 vya monkeypox vimeripotiwa nchini Amerika, idadi kubwa zaidi katika nchi yoyote ulimwenguni, data ya afya ya serikali inaonyesha.
Waziri wa Afya Ummy Mwalimu ambaye alitembelea eneo hilo alisema ugonjwa huo unasababishwa na bakteria ambao huenea kupitia maji au chakula kilichochafuliwa na mkojo wa wanyama.
Hakuna matibabu au chanjo iliyopo kwa Marburg ,ugonjwa ambao ni hatari kama Ebola.
Ebola ni homa ya virusi inayosababisha kuvuja damu ambayo iligunduliwa kwa mara ya kwanza Afrika ya kati mwaka wa 1976.
Kenya imetoa motisha ya kodi ili kuwavutia wawekezaji wanaotaka kujenga viwanda vya kuzalisha chanjo za binadamu ikiwa ni pamoja na ya UVIKO -19.
Makubaliano kati ya Kenya na Uingereza kuhusu kuajiri wafanyikazi wa Afya yalitiwa saini na Rais Uhuru Kenyatta na Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson mnamo Januari 2021.
At least 23 migrants died and 140 police officers were wounded in the ensuing violence, according to Moroccan authorities.