Juni 13: Siku ya uelewa kuhusu ualbino
Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.
Kulingana na Taasisi ya Kitaifa ya Afya ya Marekani (NIH), karibu mtu mmoja kati ya 20,000 huzaliwa na ualbino, ambayo inaweza kuwa sawa na watu 400,000 kati ya watu bilioni 7.9 duniani.
“The death toll is now 15 dead, and 37 people have been injured, some of them critically,” spokesman Thabo Charles Mabaso said.
The Vatican, which announced the trip to Africa in March, had already published its schedule.
Wizara ya afya ya umma ilitangaza Februari kwamba bangi itaondolewa kwenye orodha ya mihadarati iliyopigwa marufuku, sheria hizo zilianza kutekelezwa Alhamisi.
Mvua ilipokosa kunyesha kwa msimu wa nne mfululizo mwezi uliopita, mashirika ya misaada ya UN walionya kuwa njaa huenda ikakumba nchi za Somalia, Kenya na Ethiopia
Zaidi ya watu milioni 16.7 katika nchi hizo tatu wanakabiliwa na njaa kali huku idadi ikitarajiwa kuongezeka hadi milioni 20 ifikapo Septemba.
Mkasa huo ulikuwa wa hivi punde zaidi katika mfululizo wa matukio mabaya yaliyoangazia mapungufu katika mfumo wa afya wa Senegal.
Kituo cha Kudhibiti Magonjwa cha Nigeria (NCDC) kilisema kufikia Jumapili visa 66 vinavyoshukiwa kuwa vya Monkeypox vimeripotiwa katika majimbo tisa kati ya 36 nchini humo na katika mji mkuu Abuja.
The city’s mayor Demba Diop said “three babies were saved”.
Mkasa huo ulitokea katika Hospitali ya Mame Abdou Aziz Sy Dabakh mjini Tivaouane, na ulisababishwa na hililafu ya umeme kulingana na mwanasiasa Diop Sy.