• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: People

Kenya yapiga marufuku wafugaji kubeba silaha
Africa East Africa Environment People

Kenya yapiga marufuku wafugaji kubeba silaha

Mwanzo EditorFebruary 27, 2023February 27, 2023

Rais wa Kenya William Ruto alisema jana kuwa wafugaji wa kaskazini hawataruhusiwa tena kubeba silaha wakati wanachunga ng’ombe wao huku kukiwa na operesheni ya kuwapokonya silaha.

Jill Biden amesema Pembe ya Afrika inahitaji misaada zaidi kukabiliana na ukame
East Africa Environment People

Jill Biden amesema Pembe ya Afrika inahitaji misaada zaidi kukabiliana na ukame

Joy CheptooFebruary 27, 2023February 27, 2023

Biden alitoa wito wa kuangaziwa zaidi juu ya ukame uliovunja rekodi ambao unatishia watu milioni 22 nchini Kenya, Somalia na Ethiopia na njaa

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata
Africa Arts & Culture East Africa Gender People

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya
Africa East Africa People Politics

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Kukosekana kwa baadhi ya wapambe wa Raila katika mikutano ya hadhara kumeibua maswali mengi

Nigeria kufunga mipaka yake siku ya uchaguzi
Africa People Politics

Nigeria kufunga mipaka yake siku ya uchaguzi

Mwanzo EditorFebruary 24, 2023February 24, 2023

Maafisa wa mpaka wameambiwa kuhakikisha utekelezwaji mkali wa agizo hilo.

Mwanasiasa wa Nigeria akamatwa na dola 500,000 kabla ya uchaguzi
People Politics

Mwanasiasa wa Nigeria akamatwa na dola 500,000 kabla ya uchaguzi

Mwanzo EditorFebruary 24, 2023February 24, 2023

Katika chaguzi zilizopita, wanasiasa wameshutumiwa kwa wizi wa kura kupitia ununuzi wa kura.

Kenya yatoa leseni kwa Taifa Gas, inayomilikiwa na bilionea Mtanzania Rostam Aziz
Business / Finance East Africa People

Kenya yatoa leseni kwa Taifa Gas, inayomilikiwa na bilionea Mtanzania Rostam Aziz

Joy CheptooFebruary 24, 2023February 24, 2023

Taifa Gas ndiyo kampuni kubwa zaidi ya usambazaji wa LPG nchini Tanzania

Mgombea wa useneta wa Nigeria auawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuchomwa moto
Africa People Politics

Mgombea wa useneta wa Nigeria auawa kwa kupigwa risasi na mwili wake kuchomwa moto

Mwanzo EditorFebruary 23, 2023February 23, 2023

Wasaidizi wake waliokuwa pamoja naye pia waliuawa kwa kupigwa risasi kabla ya gari lao kuchomwa moto huku miili ikiwa ndani, vyombo vya habari vya eneo hilo vinaripoti.

Burkina Faso kumzika upya Sankara
Africa People

Burkina Faso kumzika upya Sankara

Mwanzo EditorFebruary 23, 2023February 23, 2023

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso inajiandaa kuzika masalia ya mwili wa rais wa zamani wa nchi hiyo Thomas Sankara hii leo Alhamisi, huu familia yake ikikataa kushiriki mazishi hayo.

Raila Odinga Astaafu Kama Mwakilishi Mkuu Wa Umoja Wa Afrika Kwa Maendeleo Ya Miundombinu
Africa East Africa People

Raila Odinga Astaafu Kama Mwakilishi Mkuu Wa Umoja Wa Afrika Kwa Maendeleo Ya Miundombinu

Davis MberiaFebruary 23, 2023February 23, 2023

Taarifa ya kustaafu kwake Odinga ilitangazwa na mwenyekiti wa tume ya Umoja wa Afrika Moussa Faki Mahamat.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo