#KENYA: Idadi ya vifo katika ibada ya Shakahola imeongezeka hadi 83
Kiongozi huyo wa madhehebu alikamatwa Aprili 14 kufuatia taarifa iliyodokeza kuwepo kwa makaburi mafupi yenye miili ya baadhi ya wafuasi wake
Kiongozi huyo wa madhehebu alikamatwa Aprili 14 kufuatia taarifa iliyodokeza kuwepo kwa makaburi mafupi yenye miili ya baadhi ya wafuasi wake
For the past week, forces loyal to Sudan’s army chief Abdel Fattah al-Burhan and rival fighters of Mohamed Hamdan Daglo’s paramilitary Rapid Support Forces (RSF) have been battling for control
Polisi wa Kenya walisema Ijumaa kwamba wamefukua miili mitatu, ambayo inakisiwa kuwa wafuasi wa dhehebu la kidini ambao waliaminika kujiua kwa njaa, huku wakiongeza uchunguzi
He offered instead to sell the blue badge to anyone who would pay $8 a month, in a move he said last year would “democratize journalism & empower the voice of the people.”
Marriott alisema kuwa ataikumbuka Kenya baada ya kuhudumu kwa miaka minne, na akadokeza kuchukua jukumu lingine Julai
Bunge mwezi uliopita liliidhinisha Mswada wa Kupinga Ushoga wa 2023, unaotaka adhabu kali kwa yeyote anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Utafiti huo ulifanyika kati ya Machi 11 hadi Machi 19, 2023
Some countries still have large populations of highly vulnerable people who are unvaccinated
Uchunguzi wa ufisadi dhidi ya mawaziri ni nadra nchini Uganda
INEC acknowledged technical difficulties in the vote counting but denied any large-scale vote rigging