Rwanda yaonya kuhusu ‘mauaji ya kimbari’ mashariki mwa DRC
Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda Vincent Biruta amesema kwamba nchi yake inahofu kuhusu uwezekano wauliopo wa “mauaji ya…
Waziri wa mambo ya nje wa Rwanda Vincent Biruta amesema kwamba nchi yake inahofu kuhusu uwezekano wauliopo wa “mauaji ya…
Getachew, adviser to TPLF leader Debretsion Gebremichael, also once served as communications minister in the federal government under prime minister Hailemariam Desalegn who governed from 2012 to 2018
Inflation hit 9.2 percent in February, according to the latest government figures
Polisi katika miji mikuu ya Marekani wanajiandaa kwa ghasia zinazoweza kutokea iwapo rais wa zamani Donald Trump atakamatwa wiki hii kama sehemu ya uchunguzi wa pesa aliyotoa kama rushwa.
Mamlaka nchini Malawi zinasema idadi ya watu ambao bado hawajulikani walipo kufuatia Kimbunga Freddy imeongezeka kutoka 349 hadi 427, huku…
Mbappe, 24, alikubali jukumu hilo baada ya mazungumzo na kocha Didier Deschamps
Wakenya wanakabiliwa na matatizo ya kiuchumi kufuatia hatua za serikali za hivi majuzi za ushuru na kuongezeka kwa bei ya vyakula na mafuta
Wito huo wa maandamano uliamsha kumbukumbu za mapigano ya Julai 2021 ambayo yalishuhudia ghasia mbaya zaidi tangu kumalizika kwa ubaguzi wa rangi na ujio wa demokrasia mnamo 1994
Odinga alikuwa ameitisha maandamano ya Jumatatu jijini Nairobi kuhusu kupanda kwa mfumuko wa bei, ambao mwezi Februari ulifikia asilimia 9.2 mwaka hadi mwaka nchini Kenya
Wanatoroka mfululizo wa mashambulizi ya waasi wa Kiislamu wa Allied Democratic Forces (ADF) katika jimbo hilo.