Kenya kuchunguza unyanyasaji wa kingono kwa wafanyakazi katika mashamba ya chai kufuatia makala ya BBC
Zaidi ya wanawake 70 wanaofanya kazi katika mashamba ya chai walifichua kwamba walikuwa wamenyanyaswa kingono na wasimamizi wao kwa miaka mingi
Zaidi ya wanawake 70 wanaofanya kazi katika mashamba ya chai walifichua kwamba walikuwa wamenyanyaswa kingono na wasimamizi wao kwa miaka mingi
Mamlaka inasema jengo wamemaliza hali ya kuzingirwa kwa jengo lililokuwa likishambuliwa na wapiganaji wa kundi la kiislamu la al-Shabab.
According to the Christian faith, today is the first day of Lent occurring six-and-a-half weeks before Easter
Lent, which begins on Ash Wednesday is a season for penance, reflection, and fasting to prepare Christian for the holy week in the month of April.
Japan inapanga kuongeza umri wa ridhaa ya ngono kutoka miaka 13 hadi 16. Pendekezo hili liko katika kifungu cha marekebisho…
Bomba hilo lenye urefu wa kilomita 1,443 litasafirisha mafuta ghafi kutoka Ziwa Albert kaskazini magharibi mwa Uganda hadi bandari ya Tanzania
Wataalamu kutoka Ofisi ya taifa ya Majanga wametabiri kuwa kimbunga hicho kitakumba mikoa tisa nchini huo.
Kutesa Denis aliwatambua waathiriwa wake kutoka wadi ya Magonjwa ya Wanawake na kisha kuwatia dawa inayoshukiwa kuwa chloroform kabla ya kuwabaka
Familia ya mmoja ya waliopigania Uhuru nchini Kenya Dedan kimathi sasa inaitaka serikali ya Rais Wiliam Ruto kuwasaidia ili wapate…
The move means that the rights monitor’s Kampala office will close down when its authorisation expires this year