Mchezaji kandanda atozwa faini na kupoteza udhamini kwa kumpiga teke paka wake
Zaidi ya watu 300,000 wametia saini ombi la mtandaoni la kumtaka Zouma ashtakiwe.
Zaidi ya watu 300,000 wametia saini ombi la mtandaoni la kumtaka Zouma ashtakiwe.
Teranga Lions iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti katika fainali iliyochezwa Jumapili nchini Cameroon.
Hii ni baada ya madai kuwa TFF na Bodi ya Ligi kushindwa kusimamia matakwa yaliyopo kwenye mkataba walioingia
Led by Liverpool star Sadio Mane, Senegal overcame Mohamed Salah’s Egypt 4-2 in a penalty shoot-out at Sunday’s final in Cameroon.
Ikiongozwa na nyota wa Liverpool, Sadio Mane, Senegal iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti
The spectacular 60,000-seat Olembe Stadium was built to be the jewel in the crown of Cameroon’s Cup of Nations.
It will be a second AFCON final appearance for Salah.
Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON
Mchezaji huyo wa kabumbu Mohamed mwenye umri wa miaka 24, yuko Cameroon na timu ya taifa ya Misri Mafarao