Klabu ya Simba yamtimua Robertinho
Klabu ya Simba SC imeachana na kocha wao Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika.
Klabu ya Simba SC imeachana na kocha wao Robert Oliveira ‘Robertinho’ baada ya makubaliano ya pande zote mbili kwa maana ya klabu na mhusika.
Mwakinyo amepewa adhabu hiyo baada kugomea kupanda ulingoni September 29, 2023 katika pambano lake dhidi ya Julius Indonga kutokea Namibia kwa madai ya Promota kukiuka baadhi ya makubaliano yao..
Kenyans are holding their breath waiting to learn if the Confederation of African Football’s executive committee will today vote for…
The son of Ali Bongo Ondimba and several allies of the ousted Gabon president have been charged with high treason and corruption and placed in custody, the state prosecutor told AFP Wednesday.
Bingwa wa Dunia wa mbio za mita 10,000 Gudaf Tsegay amevunja rekodi ya dunia ya mita 5000 iliyowekwa na Faith Kipyegon kwenye mbio za Diamond League iliofanyika Jimbo La Oregon , Marekani.
Timu ya raga ya Kenya, Shujaa wamefuzu kwa Michezo yao ya Olimpiki baada ya kuishinda Afrika Kusini 17-12 katika fainali ya Kombe la Africa Rugby 7s
Mafuriko makubwa Jijini Derna, Nchini Libya yameangamiza maisha ya wachezaji soka kadhaa wa hali ya kiwango cha kimataifa.
”Mmeandika historia kwani hii ni mara yetu ya 3 kufuzu tangu kuanzishwa kwa mashindano haya. Nawatakia kila la kheri.”
Otieno tested positive for the banned anabolic steroid methasterone and was suspended from the Tokyo Games in 2021 moments before he was due to compete in the 100m heats.
Tume ya Udhibiti wa Mchezo wa ndondi ya kimataifa Tanzania (TPBRC) imemsimamisha kwa muda bondia maarufu Karim ‘Mtu kazi’ Mandonga kwa ajili ya kupimwa afya yake katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.