• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Category: War & Conflicts

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23
East Africa War & Conflicts

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23

Asia GambaJanuary 30, 2025

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amesema jeshi lake linatekeleza wajibu dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, waliovamia maeneo mapya mashariki mwa nchi, na alionya juu ya uwezekano wa “kuongezeka  kwa mivutano” katika eneo hilo.

Angola yataka wanajeshi wa Rwanda kufanya mazungumzo ya dharura kuhusu DRC
Africa War & Conflicts

Angola yataka wanajeshi wa Rwanda kufanya mazungumzo ya dharura kuhusu DRC

Asia GambaJanuary 30, 2025

Rais wa Angola alitoa wito Jumatano kwa “kuondolewa mara moja” kwa wanajeshi wa Rwanda kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kwa viongozi wa nchi hizo mbili kukutana kwa dharura huko Luanda kujadili mgogoro huo.

Rwanda, DR Congo leaders in crisis summit as Goma’s fate hangs in balance
East Africa International War & Conflicts

Rwanda, DR Congo leaders in crisis summit as Goma’s fate hangs in balance

Mwanzo EditorJanuary 29, 2025February 3, 2025

The president of crisis-hit Democratic Republic of Congo was set to meet his Rwandan counterpart at an emergency summit on Wednesday, as fighters backed by Kigali appeared on the brink of seizing the key city of Goma.

Kenya yalaani shambulizi dhidi ya Ubalozi wake nchini DRC
People United Nations War & Conflicts

Kenya yalaani shambulizi dhidi ya Ubalozi wake nchini DRC

Asia GambaJanuary 28, 2025

Kenya imelaani shambulizi lililofanywa dhidi ya ubalozi wake katika mji mkuu wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Kinshasa, siku ya Jumanne. Shambulizi hili ni miongoni mwa mashambulizi kadhaa yaliyolenga balozi za nchi mbalimbali, wakati wa maandamano dhidi ya mzozo unaozidi kuzidi mashariki mwa DRC.

Mapigano yalipuka Goma, wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la UN kikiendelea
East Africa War & Conflicts

Mapigano yalipuka Goma, wakati wa kikao cha Baraza la Usalama la UN kikiendelea

Asia GambaJanuary 28, 2025

Risasi zilisikika katika maeneo kadhaa ya mji wa Goma, Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), siku leo Jumanne, wakati wanajeshi wa Kongo walipokutana uso kwa uso na wapiganaji wa kikundi cha M23, kilichosaidiwa na wanajeshi wa Rwanda, kabla ya kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

International War & Conflicts

G7 Calls Gaza ceasefire a ‘significant development’

Mwanzo EditorJanuary 17, 2025January 20, 2025

The G7 also reaffirmed its support for Israel’s defense from security threats, urging “Iran and its proxies to refrain from any further attack against Israel.”

Thousands across Gaza celebrate ceasefire deal
Business / Finance International Middle East War & Conflicts

Thousands across Gaza celebrate ceasefire deal

Mwanzo EditorJanuary 16, 2025

Hamas sparked the war in Gaza by staging the deadliest-ever attack on Israel on October 7, 2023, resulting in the deaths of 1,210 people, mostly civilians

Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza yaafikiwa
War & Conflicts

Makubaliano ya kusitisha mapigano Gaza yaafikiwa

Kevin SeweJanuary 16, 2025January 16, 2025

Katika hatua muhimu kwenye mgogoro wa muda mrefu wa Gaza, Israel na kundi la Hamas wamefikia makubaliano ya kihistoria ya kusitisha mapigano, yaliosimamiwa na Qatar.

Israeli Cabinet to Vote on Gaza Ceasefire Deal
International War & Conflicts

Israeli Cabinet to Vote on Gaza Ceasefire Deal

Wadh KassimJanuary 16, 2025January 16, 2025

Israeli Prime Minister Benjamin Netanyahu spoke with both US President Joe Biden and Trump on Wednesday, his office said, thanking them for their help securing the agreement but also cautioning that “final details” were still being hammered out.

Africa Politics War & Conflicts

Mozambique Inaugurates New President After Deadly Post-Election Unrest

Wadh KassimJanuary 15, 2025

Taking the oath, Chapo vowed “to devote all my energies to defending, promoting and consolidating national unity, human rights, democracy and the well-being of the Mozambican people”.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo