Rais Macky Sall aitunuku timu ya Senegal $87,000 pesa taslimu na ardhi baada ya kushinda AFCON
Teranga Lions iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti katika fainali iliyochezwa Jumapili nchini Cameroon.
Teranga Lions iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti katika fainali iliyochezwa Jumapili nchini Cameroon.
Ikiongozwa na nyota wa Liverpool, Sadio Mane, Senegal iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti
Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON
Shirikisho la Soka Afrika lilisema kuwa nusu fainali ya pili tarehe Februari 3 kati ya wenyeji na Misri na fainali Februari 6 itafanyika katika uwanja wa Olembe
Algeria walikuja kwenye michuano hiyo na rekodi ya kutoshindwa kwa muda wa miaka mitatu iliyopita.
Misri, Ivory Coast,Mali,Gambia,Malawi na Cape Verde zimefuzu kuwa kati ya timu 16 bora.
Salima alikuwa afisa wa nne wakati Guinea ilipoishinda Malawi mnamo Januari 10 mjini Bafoussam.
Mabingwa mara nne Ghana waliondolewa kwenye AFCON baada ya kuchapwa 3-2 na Wacomoro katika Kundi C Jumanne mjini Garoua.