• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: AFCON2021

Rais Macky Sall aitunuku timu ya Senegal $87,000 pesa taslimu na ardhi baada ya kushinda AFCON
Africa Features Football People

Rais Macky Sall aitunuku timu ya Senegal $87,000 pesa taslimu na ardhi baada ya kushinda AFCON

Maureen MedzaFebruary 9, 2022February 9, 2022

Teranga Lions iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti katika fainali iliyochezwa Jumapili nchini Cameroon.

Rais wa Senegal atangaza sikukuu ya kitaifa kusherehekea ushindi wa Kombe la AFCON
Africa Football International People

Rais wa Senegal atangaza sikukuu ya kitaifa kusherehekea ushindi wa Kombe la AFCON

Maureen MedzaFebruary 7, 2022February 7, 2022

Ikiongozwa na nyota wa Liverpool, Sadio Mane, Senegal iliishinda Misri kwa mabao 4-2 katika mikwaju ya penalti

Misri yaichabanga Cameroon 3-1 na kutinga fainali ya AFCON
Africa Features Football Middle East Sports

Misri yaichabanga Cameroon 3-1 na kutinga fainali ya AFCON

Maureen MedzaFebruary 4, 2022February 4, 2022

Katika fainali Jumapili, Mo Salah atakuwa anakutana na mwenzake wa Liverpool, Sadio Mane, huku Mafarao hao wakiwinda taji la nane la michezo hii ya AFCON

Misri na Senegal wafuzu kushiriki nusu fainali ya AFCON
Africa Sports

Misri na Senegal wafuzu kushiriki nusu fainali ya AFCON

Maureen MedzaJanuary 31, 2022January 31, 2022

Shirikisho  la Soka Afrika lilisema kuwa nusu fainali ya pili tarehe Februari 3 kati ya wenyeji na Misri na fainali Februari 6 itafanyika katika uwanja wa Olembe

Algeria yabanduliwa nje ya michuano AFCON huku Mali na Gambia wakishinda
Africa Football Sports

Algeria yabanduliwa nje ya michuano AFCON huku Mali na Gambia wakishinda

Maureen MedzaJanuary 21, 2022January 21, 2022

Algeria walikuja kwenye michuano hiyo na rekodi ya kutoshindwa kwa muda wa miaka mitatu iliyopita.

AFCON 2021: Mabingwa mara saba Misri wapata nafasi ya kujiunga na timu 16 bora
Africa Football Sports

AFCON 2021: Mabingwa mara saba Misri wapata nafasi ya kujiunga na timu 16 bora

Maureen MedzaJanuary 20, 2022January 20, 2022

Misri, Ivory Coast,Mali,Gambia,Malawi na Cape Verde zimefuzu kuwa kati ya timu 16 bora.

Mnyarwanda Salima Mukansanga amekuwa mwanamke wa kwanza kuwa mwamuzi wa mechi za AFCON
Africa Football Gender People

Mnyarwanda Salima Mukansanga amekuwa mwanamke wa kwanza kuwa mwamuzi wa mechi za AFCON

Maureen MedzaJanuary 19, 2022January 19, 2022

Salima alikuwa afisa wa nne wakati Guinea ilipoishinda Malawi mnamo Januari 10 mjini Bafoussam.

Inaumaa! Ghana yabanduliwa nje ya michuano ya AFCON
Africa Football International Sports

Inaumaa! Ghana yabanduliwa nje ya michuano ya AFCON

Maureen MedzaJanuary 19, 2022January 19, 2022

Mabingwa mara nne Ghana waliondolewa kwenye AFCON baada ya kuchapwa 3-2 na Wacomoro katika Kundi C Jumanne mjini Garoua.

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo