Who is fighting in Sudan?
For the past week, forces loyal to Sudan’s army chief Abdel Fattah al-Burhan and rival fighters of Mohamed Hamdan Daglo’s paramilitary Rapid Support Forces (RSF) have been battling for control
For the past week, forces loyal to Sudan’s army chief Abdel Fattah al-Burhan and rival fighters of Mohamed Hamdan Daglo’s paramilitary Rapid Support Forces (RSF) have been battling for control
Polisi wa Kenya walisema Ijumaa kwamba wamefukua miili mitatu, ambayo inakisiwa kuwa wafuasi wa dhehebu la kidini ambao waliaminika kujiua kwa njaa, huku wakiongeza uchunguzi
Over 300 people have been killed since the fighting erupted Saturday between forces loyal to Sudan’s army chief Abdel Fattah al-Burhan and his deputy, Mohamed Hamdan Daglo
Bunge mwezi uliopita liliidhinisha Mswada wa Kupinga Ushoga wa 2023, unaotaka adhabu kali kwa yeyote anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja
Mtandao wa African Cybersmart umeundwa ili kuimarisha elimu kwa umma na kukuza tabia salama za mtandaoni kwa kuwezesha kujenga uwezo kupitia mafunzo, ushirikiano na kubadilishana maarifa kati ya wahamasishaji wa usalama wa mtandao
INEC acknowledged technical difficulties in the vote counting but denied any large-scale vote rigging
In a statement, G7 foreign ministers meeting in Japan warned the fighting “threatens the security and safety of Sudanese civilians and undermines efforts to restore Sudan’s democratic transition”.
Vurugu hizo zilizozuka Jumamosi zilidumu kwa siku ya tatu Jumatatu na idadi ya waliouawa ikizidi 100
Mapigano nchini Sudan yalidumu kwa siku ya pili tarehe 16 Aprili baada ya mapigano makali kati ya majenerali hao waliokuwa wakitawala tangu mapinduzi ya mwaka 2021 yaliyoua watu 56 na kujeruhi karibu 600, jambo ambalo lilizua taharuki ya kimataifa
Zuma anakabiliwa na makosa 16 ya ufisadi na ulaghai yanayohusiana na kandarasi ya kununua ndege za kivita, boti za doria na vifaa kutoka kwa makampuni matano ya silaha ya Ulaya alipokuwa makamu wa rais