Chama cha upinzani nchini Kenya chaandaa maandamano ya siku ya tatu
Odinga ameitisha maandamano kila Jumatatu na Alhamisi akimshutumu Rais William Ruto kwa kuiba uchaguzi wa mwaka jana na kushindwa kudhibiti kupanda kwa gharama ya maisha
Odinga ameitisha maandamano kila Jumatatu na Alhamisi akimshutumu Rais William Ruto kwa kuiba uchaguzi wa mwaka jana na kushindwa kudhibiti kupanda kwa gharama ya maisha
Rais William Ruto amesema hali ya kutoadhibiwa haitavumiliwa na Wakenya wote lazima watii sheria
Faki anaonyesha wasiwasi mkubwa juu ya ghasia, ambazo zimesababisha watu kupoteza maisha, uharibifu wa mali na kukatizwa kwa shughuli fulani za kiuchumi
Azimio imetangaza kuwa itafanya maandamano yake mara mbili kwa wiki siku za Jumatatu na Alhamisi hadi serikali itakapopunguza gharama ya maisha
Nairobi ilirekodi visa 53 vya mauaji ya polisi huku nyingi zikiwa ni matokeo ya oparesheni za kupinga uhalifu
Getachew, adviser to TPLF leader Debretsion Gebremichael, also once served as communications minister in the federal government under prime minister Hailemariam Desalegn who governed from 2012 to 2018
Inflation hit 9.2 percent in February, according to the latest government figures
Wakenya wanakabiliwa na matatizo ya kiuchumi kufuatia hatua za serikali za hivi majuzi za ushuru na kuongezeka kwa bei ya vyakula na mafuta
Odinga alikuwa ameitisha maandamano ya Jumatatu jijini Nairobi kuhusu kupanda kwa mfumuko wa bei, ambao mwezi Februari ulifikia asilimia 9.2 mwaka hadi mwaka nchini Kenya
The illness was detected in “a total of seven people (with) symptoms including fever, vomiting, bleeding in various body parts and kidney failure