• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Upinzani nchini Nigeria waandamana kupinga matokeo ya uchaguzi
Africa People Politics

Upinzani nchini Nigeria waandamana kupinga matokeo ya uchaguzi

Joy CheptooMarch 7, 2023March 7, 2023

Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekumbwa na madai ya udanganyifu

Afisa wa polisi amuua mpenzi wake, mke wa afisa mwenzake na kisha kujitoa uhai
East Africa

Afisa wa polisi amuua mpenzi wake, mke wa afisa mwenzake na kisha kujitoa uhai

Mwanzo EditorMarch 6, 2023March 6, 2023

Inadaiwa kuwa Mulanda aliondoka katika stesheni na kueleza wenzake anaelekea chumbani kwake kuchukua koti lake na alipofika kwa nyumba, ugomvi na mpenziwe ukaanza

Mgombea urais wa Nigeria Peter Obi kupinga uchaguzi mahakamani
Africa People Politics

Mgombea urais wa Nigeria Peter Obi kupinga uchaguzi mahakamani

Joy CheptooMarch 2, 2023March 2, 2023

Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekuwa na madai ya udanganyifu na ghasia

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi
East Africa People Politics

Godbless Lema wa Chadema arejea nyumbani baada ya kukaa uhamishoni kwa miaka mingi

Joy CheptooMarch 2, 2023March 2, 2023

Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata

Uganda yaweka mipango ya sheria mpya dhidi ya mashoga
East Africa People

Uganda yaweka mipango ya sheria mpya dhidi ya mashoga

Joy CheptooFebruary 28, 2023February 28, 2023

Serikali ya Uganda mwezi uliopita iliunda kamati kuchunguza madai ya “kukuzwa” kwa haki za mashoga

Zoezi La Kuhesabu Kura Katika Uchaguzi Mkuu Nigeria Laendelea
Africa Politics

Zoezi La Kuhesabu Kura Katika Uchaguzi Mkuu Nigeria Laendelea

Davis MberiaFebruary 28, 2023February 28, 2023

Wagombea 18 wanawania kiti cha Urais kumrithi rais anayeondoka Muhammadu Buhari, ila watatu pekee ndio wameonekana kuwa mibabe

Chama Cha UDA Chafanya Mabadiliko Katika Uongozi Wake
Africa East Africa Politics

Chama Cha UDA Chafanya Mabadiliko Katika Uongozi Wake

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Gavana wa Embu Cecily Mbarire ameteuliwa kama mwenyekiti wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Chake rais William Ruto.

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata
Africa Arts & Culture East Africa Gender People

Uamuzi Wa Mahakama Ya Upeo Kuhusu Wapenzi Wa Jinsia Moja (LGBTQ) Nchini Kenya Wazua Gumzo Tata

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya
Africa East Africa People Politics

Wapambe Wa Raila Wazidi Kususia Mikutano Ya Hadhara Ya Upinzani Nchini Kenya

Davis MberiaFebruary 27, 2023February 27, 2023

Kukosekana kwa baadhi ya wapambe wa Raila katika mikutano ya hadhara kumeibua maswali mengi

Imefichuliwa:Jinsi Rais Ruto Anadaiwa Kuchangia Odinga Kufutwa Kazi Umoja Wa Afrika (AU)
Africa East Africa Politics

Imefichuliwa:Jinsi Rais Ruto Anadaiwa Kuchangia Odinga Kufutwa Kazi Umoja Wa Afrika (AU)

Davis MberiaFebruary 25, 2023February 25, 2023

Duru za kuaminika kutoka ofisi ya Umoja wa Afrika (AU) zinadai kuwa Odinga “Kufutwa kazi” kulitokana na kile kinachotajwa kama msururu wa siasa ambazo waziri huyo mkuu wa zamani wa Kenya amekuwa akifanya nchini humo.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo