Upinzani nchini Nigeria waandamana kupinga matokeo ya uchaguzi
Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekumbwa na madai ya udanganyifu
Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekumbwa na madai ya udanganyifu
Inadaiwa kuwa Mulanda aliondoka katika stesheni na kueleza wenzake anaelekea chumbani kwake kuchukua koti lake na alipofika kwa nyumba, ugomvi na mpenziwe ukaanza
Uchaguzi wa Nigeria mara nyingi umekuwa na madai ya udanganyifu na ghasia
Lema alikimbia Tanzania Novemba 2020, akiripoti vitisho vya maisha yake kufuatia uchaguzi uliokuwa na utata
Serikali ya Uganda mwezi uliopita iliunda kamati kuchunguza madai ya “kukuzwa” kwa haki za mashoga
Wagombea 18 wanawania kiti cha Urais kumrithi rais anayeondoka Muhammadu Buhari, ila watatu pekee ndio wameonekana kuwa mibabe
Gavana wa Embu Cecily Mbarire ameteuliwa kama mwenyekiti wa chama cha United Democratic Alliance (UDA) Chake rais William Ruto.
Viongozi wa kidini na wale wa kisiasa serikalini wamejitokeza kushtumu uamuzi huo wa mahakama ambao wameutaja kama kinyume na mila na desturi
Kukosekana kwa baadhi ya wapambe wa Raila katika mikutano ya hadhara kumeibua maswali mengi
Duru za kuaminika kutoka ofisi ya Umoja wa Afrika (AU) zinadai kuwa Odinga “Kufutwa kazi” kulitokana na kile kinachotajwa kama msururu wa siasa ambazo waziri huyo mkuu wa zamani wa Kenya amekuwa akifanya nchini humo.