• Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
  • Home
  • Politics
  • Business / Finance
  • Sports
  • Entertainment
  • Africa
  • East Africa
X-twitter Youtube Tiktok Facebook-f Icon-instagram-1 Linkedin Telegram Whatsapp

Tag: africa

Mkuu wa Fedha wa Uganda akabiliwa na mashtaka ya wizi wa dola Milioni 16
Crime & Justice East Africa Uganda

Mkuu wa Fedha wa Uganda akabiliwa na mashtaka ya wizi wa dola Milioni 16

Asia GambaFebruary 7, 2025

Afisa mkuu wa fedha wa Uganda, Lawrence Semakula, pamoja na wengine wanane, wamefunguliwa mashtaka ya udanganyifu na utakatishaji fedha kufuatia wizi wa karibu dola milioni 16 za Marekani zilizokuwa zimekusudiwa kulipia mikopo ya maendeleo, kulingana na nyaraka za mahakama.

Watu 80 wauawa kutokana na vurugu Kusini mwa Sudan: UN
Africa War & Conflicts

Watu 80 wauawa kutokana na vurugu Kusini mwa Sudan: UN

Asia GambaFebruary 6, 2025

Mapigano yaliyoibuka tena wiki iliyopita yalitokea katika majimbo ya South Kordofan na Blue Nile kati ya jeshi la Sudan na kundi la Sudan People’s Liberation Movement-North (SPLM-N) linaloongozwa na Abdel Aziz al-Hilu.

Malawi yajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo
Africa Social Issues War & Conflicts

Malawi yajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo

Asia GambaFebruary 6, 2025

Malawi imetangaza kuwa inajiandaa kutoa vikosi vyake kutoka mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, ambako kundi la waasi la M23 linaloungwa mkono na Rwanda limelizindua shambulizi jipya. 

Mgodi wa madini waporomoka na kufunika watu 12 nchini Kenya
East Africa Energy & Mining Kenya

Mgodi wa madini waporomoka na kufunika watu 12 nchini Kenya

Asia GambaFebruary 4, 2025

Watu kumi na wawili wamekwama baada ya mgodi wa dhahabu katika eneo la magharibi mwa Kenya kuanguka sehemu yake, polisi wamesema leo Jumanne.

Kliniki za HIV za Afrika Kusini zafadhaika kutokana na kusitishwa kwa msaada kutoka Marekani
Africa Lifestyle & Health Social Issues

Kliniki za HIV za Afrika Kusini zafadhaika kutokana na kusitishwa kwa msaada kutoka Marekani

Asia GambaFebruary 4, 2025

Milango ya kliniki ya LGBTQ ya OUT huko Johannesburg imefungwa kwa zaidi ya wiki moja na huduma za kinga na matibabu ya HIV zimefungwa kwa wateja wake 6,000.

Rais wa Burundi atahadharisha vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC
Africa East Africa War & Conflicts

Rais wa Burundi atahadharisha vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC

Asia GambaFebruary 1, 2025

Rais wa Burundi atoa onyo kuhusu vita vinavyoendelea Mashariki mwa DRC akisema kuwa vita hivyo vinaweza kusababisha vita vya kikanda.

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23
East Africa War & Conflicts

Tshisekedi: Jeshi linatekeleza wajibu wake dhidi ya uvamizi wa M23

Asia GambaJanuary 30, 2025

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), Felix Tshisekedi, amesema jeshi lake linatekeleza wajibu dhidi ya wapiganaji wanaoungwa mkono na Rwanda, waliovamia maeneo mapya mashariki mwa nchi, na alionya juu ya uwezekano wa “kuongezeka  kwa mivutano” katika eneo hilo.

Angola yataka wanajeshi wa Rwanda kufanya mazungumzo ya dharura kuhusu DRC
Africa War & Conflicts

Angola yataka wanajeshi wa Rwanda kufanya mazungumzo ya dharura kuhusu DRC

Asia GambaJanuary 30, 2025

Rais wa Angola alitoa wito Jumatano kwa “kuondolewa mara moja” kwa wanajeshi wa Rwanda kutoka Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) na kwa viongozi wa nchi hizo mbili kukutana kwa dharura huko Luanda kujadili mgogoro huo.

Mwaka 2024 waelezwa kuwa mwaka hatari zaidi kwa wanawake wa Kenya
Crime & Justice East Africa Kenya

Mwaka 2024 waelezwa kuwa mwaka hatari zaidi kwa wanawake wa Kenya

Asia GambaJanuary 27, 2025January 27, 2025

Karibu wanawake 200 wa Kenya waliuawa katika visa vya ukatili wa kijinsia mwaka 2024, ikiwa ni mara mbili ya idadi ya mwaka uliopita, kulingana na taarifa kutoka kwa vikundi vinavyofuatilia hali hiyo.

Kiongozi wa upinzani nchini Msumbiji agoma kujiunga na Serikali Mpya
Africa Politics

Kiongozi wa upinzani nchini Msumbiji agoma kujiunga na Serikali Mpya

Asia GambaJanuary 23, 2025January 23, 2025

Daniel Chapo alishindwa kuwa rais wiki moja iliyopita, akiwaahidi kuleta umoja nchini baada ya ghasia za uchaguzi zilizochukua maisha ya takriban watu 300.

Posts navigation

Older posts
Newer posts

Uncensored & Undaunted

Find Us Here

Facebook-f X-twitter Linkedin-in Youtube Instagram
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions
  • Privacy Policy
  • Terms & Conditions

Mwanzo Tv News 

All Rights Reserved © 2024

We use cookies to ensure that we give you the best experience on our website. If you continue to use this site we will assume that you are happy with it. Privacy policyOkNo