Sudanese recall queen’s visit in years before partition
It has been more than 50 years since Queen Elizabeth II visited Sudan but there are still some who remember her tour.
It has been more than 50 years since Queen Elizabeth II visited Sudan but there are still some who remember her tour.
The succession to the throne is regulated not only through descent, but also by Parliamentary statute. The order of succession is the sequence of members of the Royal Family in the order in which they stand in line to the throne.
Fears grew on Thursday for Queen Elizabeth II after Buckingham Palace said her doctors were “concerned” for her health and…
Egypt’s Supreme Council for Media vow to take the “necessary steps in the event of the streaming of content contrary to the values of society”,
Ukraine inaadhimisha uhuru wake ikiwa katika hali ngumu ya misukosuko ya vita vinavyorudisha nyuma maendeleo ya taifa hilo ambalo sasa watu wake wanaishi kwa hofu juu ya muafaka wa maisha yao
Uchaguzi huo umegubikwa na masaibu mengi ya Angola ikiwemo uchumi unaotatizika, mfumuko wa bei, umaskini na ukame, ukichangiwa na kifo cha rais wa zamani
Kwa mujibu wa WHO uchunguzi umeonyesha kuwa kisa hicho kinahusiana na milipuko miwili iliyodumu kwa muda mrefu nchini humo ya majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.
Idara ya usalama ya FSB ya Urusi leo imesema kwamba Ukraine ndiyo iliyohusika na shambulio la bomu kwenye gari katika viunga vya mji wa Moscow na kumuua binti wa mwana itikadi kali wa Urusi Alexander Dugin.
Utekaji nyara unaofanywa na magenge ya wahalifu hutokea mara kwa mara katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi barani Afrika, lakini katika wiki za hivi karibuni waumini wa makanisa ya Kikristo wamezidi kulengwa.
Wananchi wengi wa Angola wamechoshwa na chama ambacho kimeshika madaraka tangu nchi hiyo ilipojinyakulia uhuru kutoka kwa wakoloni wa Ureno mwaka 1975.