Mlipuko wa Ebola wazuka tena nchini DRC
Kwa mujibu wa WHO uchunguzi umeonyesha kuwa kisa hicho kinahusiana na milipuko miwili iliyodumu kwa muda mrefu nchini humo ya majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.
Kwa mujibu wa WHO uchunguzi umeonyesha kuwa kisa hicho kinahusiana na milipuko miwili iliyodumu kwa muda mrefu nchini humo ya majimbo ya Kivu Kaskazini na Ituri.
Idara ya usalama ya FSB ya Urusi leo imesema kwamba Ukraine ndiyo iliyohusika na shambulio la bomu kwenye gari katika viunga vya mji wa Moscow na kumuua binti wa mwana itikadi kali wa Urusi Alexander Dugin.
Utekaji nyara unaofanywa na magenge ya wahalifu hutokea mara kwa mara katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi barani Afrika, lakini katika wiki za hivi karibuni waumini wa makanisa ya Kikristo wamezidi kulengwa.
Wananchi wengi wa Angola wamechoshwa na chama ambacho kimeshika madaraka tangu nchi hiyo ilipojinyakulia uhuru kutoka kwa wakoloni wa Ureno mwaka 1975.
Kulingana na wanafamilia walionukuliwa na vyombo vya habari vya Urusi, Dugin mfuasi mkubwa wa mashambulizi ya Kremlin nchini Ukraine — ndiye aliyelengwa na mlipuko huo kwani binti yake aliazima gari lake dakika za mwisho.
Vikosi vya usalama vilifyatua mabomu ya kutoa machozi kuwatawanya waandamanaji hao.
Mteule huyu anatarajiwa kuapishwa baada ya siku 14 ambapo atapokea kijiti cha uongozi wakati ambapo nchi ina hali mbaya ya kiuchumi
Idadi ya wanwake waliochaguliwa magavana nchini Kenya imeongezeka maradufu kutoka watatu mwaka wa 2017 hadi saba mwaka huu wa 2022
Papua New Guinea’s Prime Minister James Marape was sworn in for a second term Tuesday, after an election hit by violence.
Investor concerns over US-China tensions have eased