Jezi ya Maradona ya ‘hand of God’ aliyovaa katika Kombe la Dunia yauzwa kwa mnada kwa $9.3 milioni
Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.
Wazabuni saba walishindania vazi hilo katika mnada ulioanza Aprili 20 na kumalizika Jumatano asubuhi, Sotheby’s ilisema.