Kenyan Athlete Willy Chelewa Passes Away After Collapsing
Willy Chelewa, a promising young athlete, tragically passed away after collapsing at a hotel in Kaptagat, Elgeyo Marakwet County. According…
Willy Chelewa, a promising young athlete, tragically passed away after collapsing at a hotel in Kaptagat, Elgeyo Marakwet County. According…
Kelvin Kiptum, Brigid Kosgei and Geoffrey Kamworor, withdrew in quick succession, forcing Athletics Kenya to name new replacements on Wednesday
Sports Minister Ababu Namwamba said Kenya was targeting 3,445 tests a year — compared to the current 1,000 — for its 37,900 athletes and support personnel
Bingwa mara mbili wa mbio za Olimpiki Faith Kipyegon aliipa Kenya medali yake ya kwanza ya dhahabu katika mbio za mita 1,500 kwa wanawake katika Riadha za Dunia zinazoendelea huko Oregon.
Omanyala — mwanamume wa tatu mwenye kasi zaidi duniani msimu huu atapumzika kwa saa chache tu kabla kushiriki katika mbio za mita 100 zinazoanza Ijumaa huko Eugene, Oregon.
Mwanariadha mwenye kasi zaidi barani Afrika Ferdinand Omanyala ni mwingi wa wasiwasi huku, akisubiri visa ya Marekani ili aweze kushiriki Mashindano ya Riadha ya Dunia.
Mutua, 28, alishindania Kenya kama mwanariadha mwenye umri mdogo na kushinda medali mbili za shaba katika Michezo ya Olimpiki ya Vijana ya 2010 huko Singapore