Kenya: Ushindi wa William Ruto waidhinisha na mahakama ya Upeo
Jaji mkuu Martha Koome amesema walalamishi walikosa kutoa ushahidi wa kutosha kuonyesha uchaguzi haukuwa wa haki.
Jaji mkuu Martha Koome amesema walalamishi walikosa kutoa ushahidi wa kutosha kuonyesha uchaguzi haukuwa wa haki.
Tume ya IEBC imekuwa ikishinikizwa kuandaa uchaguzi wa uwazi, huru na haki baada ya mahakama kufuta ushindi wa rais Uhuru Kenyatta mwaka wa 2017.
Maswali yaibuka kuhusu jinsi jina la raia wa Venezuela ilivyopatikana katika fomu 34A.
Baraza la kitaifa la usalama Kenya limepinga kujaribu kuitilafiana na matokeo ya urais.
Mgombea mwenza wa Azimio la Umoja Martha Karua amemkashifu rais mteule William Ruto kwa kile ametaja kama kwenda kinyume na sheria ya Kenya katika kuvutia upande wake vyama washirika wa Azimio la Umoja.
Wakenya wanasubiri kuona jinsi mahakama ya upeo itashughulikia kesi ya urais iwapo Raila Odinga atawasilisha kesi mahamani,
Mount Kenya is the sacred land of the Kikuyu, Kenya’s largest ethnic group, who believe that God lives in the snow-capped volcano they call Kirinyaga.
Utafiti wa hivi punde zaidi wa Infotrak unaonyesha kuwa Naibu Rais William Ruto anaungwa mkono kwa wingi katika eneo la Mlima Kenya.
Wagombea wanne wameidhinishwa kushiriki kinyang’anyiro cha kuwa rais wa Kenya, akiwemo naibu wa rais wa sasa William Ruto na Raila Odinga.
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka imetangaza kwenye gazeti la serikali majina 38 ya wagombea urais wanaotaka kuwania kiti cha urais katika uchaguzi wa Agosti kama wagombea binafsi.