Michezo ya Jumuiya ya Madola kuzinduliwa kwa mbwembwe mjini Birmingham
Zaidi ya wanariadha 5,000 watapata nafasi ya kushiriki katika michezo ya Jumuiya ya Madola katika jiji la Birmingham nchini Uingereza kuanzia Ijumaa.
Zaidi ya wanariadha 5,000 watapata nafasi ya kushiriki katika michezo ya Jumuiya ya Madola katika jiji la Birmingham nchini Uingereza kuanzia Ijumaa.