Kenya yatoa motisha ya kodi ili kuwavutia wawekezaji
Kenya imetoa motisha ya kodi ili kuwavutia wawekezaji wanaotaka kujenga viwanda vya kuzalisha chanjo za binadamu ikiwa ni pamoja na ya UVIKO -19.
Kenya imetoa motisha ya kodi ili kuwavutia wawekezaji wanaotaka kujenga viwanda vya kuzalisha chanjo za binadamu ikiwa ni pamoja na ya UVIKO -19.
China inawekeza zaidi barani Afrika kuliko mataifa mengine ya Ulaya na ni mshirika mkubwa zaidi wa kibiashara wa Afrika