Mahakama kutoa uamuzi juu ya rufaa ya upande wa mashtaka dhidi ya shujaa wa ‘Hotel Rwanda’
Waendesha mashtaka wa serikali walikuwa wamekata rufaa dhidi ya hukumu ya awali, wakisema adhabu dhidi ya Paul Rusesabagina ni ndogo na inapaswa kuongezwa hadi kifungo cha maisha.